😅so far iko konki haivujiMkuu nina fundi mzuri wa hiyo mitaro kama ukianza kuvuja nistue.
Mimi huwa nadhani watu wanaojenga hizi nyumba huwa wanakosa washauri wazuri na hawajengi kwa nia ya kukimbia gharama za paa mwinuko.Hidden roof always say "I dont want peace, i want problems, always"