Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Tunapigwa hela ndefu, kwenye mabahatinasibu yao wanaweka mkwanja kibindoni, maMpesa wanatuchuna, voice connection tunapigwa, data conection kupitia mkongo tulioukopa na tunadaiwa kama taifa wanatuibia.

Tumtafute wa kumlilia,
Sijui tumwambie lowahasa, lakini naona kama ana hisa huko kwenye makampuni ya simu, sijui tumwambie januari makamba, duh, hilo jina la ubini wake ndio atatumia kutufunga mwili mzima,
Tumshirikishe Lema. Maandamano nchi nzima kupinga kuibiwa.
 
mbna vifurush vipo...nunua unlimited buku tu
 
wabongo bwana nchi ina vifurushi kibao vizuri. wenzenu kenya kifurushi cha bei rahisi sh 50 unapata mb 40 ambayo ni kama 1000 ya tanzania unapata mb 40.

nani kasema kifurushi cha sauti upewe data? ni mitandao tu yenyewe wameamua kutupa favour na kutugaia data.

kama anavyosema kcamp kwa shilingi 1000 unapata unlimited data vodacom mbona hujakuja hapa kuomba vodacom waongeze hela maana tunawaibia voda?
 
Last edited by a moderator:
Ukiona unahitaji sana data nunua kifurushi cha pembeni cha data pekee...
 
Labda mnisaidie maana kola ninakogusa ni mb 8, natumia tiGO, hata kile kifurushi cha data pekee ambacho nilikuwa napata 1gb nacho kimekuwa 8mb mkuu.
 
Mi nadhani wamepunguza kifurushi ili vijana wapunguze matumizi ya social networkz,maana kijana wa kisasa yupo katika social network karibia tano na zaidi na zote anazipa attention so productivity yake inakua ndogo hasa hasa vitoto vya sekondary..
 
Labda mnisaidie maana kola ninakogusa ni mb 8, natumia tiGO, hata kile kifurushi cha data pekee ambacho nilikuwa napata 1gb nacho kimekuwa 8mb mkuu.

mi nimeunga jana jioni nimepata mb 700 kile kifurushi cha sh 999. labda una matatizo kwenye line wapigie au nenda ofisini kwao
 
Ukiona unahitaji sana data nunua kifurushi cha pembeni cha data pekee...

Mshahara wangu kima cha chini mkuu, msaada tafadhali, MKONGO wa taifa nini manufaa yake kwa wananchi ukizingatia kuwa ni wetu wananchi ili kuturahisishia na kutupa unafuu wa gharama za mawasiliano, data inclusive.
 
Tunapigwa hela ndefu, kwenye mabahatinasibu yao wanaweka mkwanja kibindoni, maMpesa wanatuchuna, voice connection tunapigwa, daita conection kupitia mkongo tulioukopa na tunadaiwa kama taifa wanatuibia.

Tumtafute wa kumlilia,
Sijui tumwambie lowahasa, lakini naona kama ana hisa huko kwenye makampuni ya simu, sijui tumwambie januari makamba, duh, hilo jina la ubini wake ndio atatumia kutufunga mwili mzima,
Tumshirikishe Lema. Maandamano nchi nzima kupinga kuibiwa.

Mkuu jogi yani acha tu, walisemaga mkongo wa taifa.ungeturahisishia gharama za mawasiliano lakini hata sioni huo urahisi.
 
Last edited by a moderator:
Mb8 ndo big problem in for the economic progressive.
 
Mshahara wangu kima cha chini mkuu, msaada tafadhali, MKONGO wa taifa nini manufaa yake kwa wananchi ukizingatia kuwa ni wetu wananchi ili kuturahisishia na kutupa unafuu wa gharama za mawasiliano, data inclusive.

matumizi yako ya internet ni yapi? maana tusiusingizie umaskini tu.

airtel- whatsaap, twitter na facebook bure kila ukijiunga kifurushi cha yatosha
tigo kuna 0.internet.org ni bure

kwa matumizi ya kawaida jamiiforums, facebook, twitter na whatsapp unayapata bure kabisa.

vitu kama games, youtube, kuangalia mpira nk ni luxury tu hakuna mtu akivikosa hakuna haja ya kumlaumu mtu.
 
matumizi yako ya internet ni yapi? maana tusiusingizie umaskini tu.

airtel- whatsaap, twitter na facebook bure kila ukijiunga kifurushi cha yatosha
tigo kuna 0.internet.org ni bure

kwa matumizi ya kawaida jamiiforums, facebook, twitter na whatsapp unayapata bure kabisa.

vitu kama games, youtube, kuangalia mpira nk ni luxury tu hakuna mtu akivikosa hakuna haja ya kumlaumu mtu.

Chief, mimi hutumia YouTube kwa.tutorials na mambo mengine, nakataa kuwa YouTube no anasa, nimetatua changamoto nyingi sana kupitia YouTube, nimepata tutorials zinazohusu kazi yangu, nimejifunza mengi ambayo katika hali ya kawaida nisingepata majibu yake bila msaada wa YouTube, hata nikitaka kujua jinsi gani engine inafanya kazi najua, jinsi gani kiti cha plastic kinatengenezwa naona.

Niliona robot ASIMO kupitia YouTube....
 
Chief, mimi hutumia YouTube kwa.tutorials na mambo mengine, nakataa kuwa YouTube no anasa, nimetatua changamoto nyingi sana kupitia YouTube, nimepata tutorials zinazohusu kazi yangu, nimejifunza mengi ambayo katika hali ya kawaida nisingepata majibu yake bila msaada wa YouTube, hata nikitaka kujua jinsi gani engine inafanya kazi najua, jinsi gani kiti cha plastic kinatengenezwa naona.

Niliona robot ASIMO kupitia YouTube....

yap youtube education ni sawa si anasa. ila unaweza kujifunza usiku na airtel zile mb zao 50(kama huna hela kabisa) au voda 500, airtel 400 na tigo 1000 kwa usiku.

pia zantel wana mb500 dakika unlimited zantel-kwenda zantel pamoja na kupiga mitandao yote sh 1 kwa sekunde kwa sh 1500 tu kwa mwezi. unaweza tumia hizi kama huna uwezo. hope hukosi buku jero kwa mwezi
 
Tunapigwa hela ndefu, kwenye mabahatinasibu yao wanaweka mkwanja kibindoni, maMpesa wanatuchuna, voice connection tunapigwa, data conection kupitia mkongo tulioukopa na tunadaiwa kama taifa wanatuibia.

Tumtafute wa kumlilia,
Sijui tumwambie lowahasa, lakini naona kama ana hisa huko kwenye makampuni ya simu, sijui tumwambie januari makamba, duh, hilo jina la ubini wake ndio atatumia kutufunga mwili mzima,
Tumshirikishe Lema. Maandamano nchi nzima kupinga kuibiwa.[/QUOTE

Hili suala la MB 8 nadhani ni mbinu za kisiasa.Si unajua huu ni mwaka wa uchaguzi.
 
Labda mnisaidie maana kola ninakogusa ni mb 8, natumia tiGO, hata kile kifurushi cha data pekee ambacho nilikuwa napata 1gb nacho kimekuwa 8mb mkuu.
Nunua cha wiki,hiki cha masaa 24 unakula hasara.
 
yap youtube education ni sawa si anasa. ila unaweza kujifunza usiku na airtel zile mb zao 50(kama huna hela kabisa) au voda 500, airtel 400 na tigo 1000 kwa usiku.

pia zantel wana mb500 dakika unlimited zantel-kwenda zantel pamoja na kupiga mitandao yote sh 1 kwa sekunde kwa sh 1500 tu kwa mwezi. unaweza tumia hizi kama huna uwezo. hope hukosi buku jero kwa mwezi

Asante kwa elimu Chief, bukujero kwa mwezi nikikomaa nadhani sitakosa mkuu.
 
Back
Top Bottom