M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,097
ZANTEL mpango mzima
Mkuu hamia zantel, sijui kwa nini wa tz wengi wana mashaka na mtandao huu. Huu ndio mtandao bora ambao hauna mambo ya magumashi, dakika za kutosha, mb za kumwaga. The best thing ukiweka tu salio na easy pesa unakula mb za bure hata kabla hujajiunga na kifurushi chochote. Pia hauna longolong0 kila kitu kiko straightforward.
mi mwenyewe zantel kwangu ndo mpango
Sio wamepunguza leo...sema umelijua hilo leo. Kama vp changamkia airtel yatosha vocha, mia 5 MB 125...
Sio MB 125 zimepungua hadi kufikia 10 hebu angalia saivi hapo then lete feedback hapa.
nahisi hizo vocha zikiisha kwenye soko wataleta ambazo zitapunguza pia....wanatubana sana hawa wapumbavuAirtel wana vocha zinaitwa yatosha ambazo unapata MB 125 kwa sh 500,huelewi?
View attachment 227197
Cha siku.
View attachment 227198
Cha wiki.
Mimi jamani bora huku Airtel kuna ka unafuu kidogo.
mpea umeongea points nna miezi sita nimehamia airtel na sijutii yani wako vizuri mno
voda ni kwa m pesa tu na kwa kua airtel kwenye money transaction wanazingua ila natafuta simu niweke tigo niwahame voda
siwezi kuitupa maana ndo inatambulika ila VIFURUSHI VYA VODA NI MAJANGAA