Ila pamoja na mapungufu yao ila kiukweli gharama tunazolipa miaka hii mpaka raha maana zamani just imagine vocha ya buku 5 ukiongea mfululizo unaongea dakika zisizo pungua 15 hapo hujatuma sms na kama unatumia na kuchat dakika 10 tu lakini leo unapata huduma tatu kwa wakati mmoja yaani bundle, sms na kupiga. Mie tigo ametuletea mabadiliko maana yeye kila mwaka anakuja na promotion zake zile za walalahoi na mitandao mingine wanaiga.una download video moja tu hapo
Vifushi vya masaa 24 voda kwenda voda
Tsh 150=10 sms
Tsh 500= dk 15+250sms+8mb
Tsh 650= dk 30+300sms+8mb
Tsh 1000= dk 50+300sms+8mb
vodacom kwenda mitandao mingine
Tsh 150= sms 10
Tsh 499= dk 7+300sms+8mb
Tsh 649= dk13 +450sms+8mb
Tsh 999= dk 20+1000sms+8mb
vifurushi vya wiki voda kwenda voda
Tsh 1050= sms 70
Tsh 2000= dk 60+150sms+60mb
Tsh 2800= dk 85+700sms+60mb
Tsh 4000= dk 140+1750 sms+60mb
Tsh 7000= dk 250+2100sms+60mb
Tsh 10000= dk 360+2500sms+60mb
vodacom mitandao yote kwa wiki
Tsh 1050= sms 70
Tsh 1999= dk 29+500sms+6omb
Tsh 3999= dk 49+500sms+60mb
Tsh 4999= dk 91+1000sms+60mb
Tsh 9999= dk 190+1000sms+60mb
hahahahaha
KWELI VODACOM KAZI NI KWAKO
Mnalalamika Nini kwani mmefungwa Vichwa ,si kuna mitandao mingi tu yrnyr huduma mnazozitaka ni nn kinawanyima kuhama .
1. Tigo
2. Airtell
3. Zantel
4. Smart .
mingi tuu ..hakuna haja ya kuita watu wezi ,hayo ni mazungumzo na makubalianonya kampuni
Vodacom wezi sana nilishawahama
Baada ya kuona hatukomi kwa kutuibia kwa kipindi kirefu, leo voda wameimarisha wizi wao baada ya kuondoa kifurushi cha 250 na 400 ambacho kilikuwa nafuu sana kwa sisi walal hoi!
Sasa itabidi tujikamue zaidi kwa kununua kifurushi cha 500 dk 15 sms 250 na 8mb, badala ya dk 19 sms 250 na 50mb.
Kilio kwa wengi kitakuwa hapo kwenye MB maana hamna kifurushi chenye MB zaidi ya 8.
Mb 8 ni chache sana jaman wenye smart phones itabidi muongeze bajeti. Huu ni wizi mwingine kama ule wa escrow!!