mpea umeongea points nna miezi sita nimehamia airtel na sijutii yani wako vizuri mno
voda ni kwa m pesa tu na kwa kua airtel kwenye money transaction wanazingua ila natafuta simu niweke tigo niwahame voda
siwezi kuitupa maana ndo inatambulika ila VIFURUSHI VYA VODA NI MAJANGAA
Kwa kweli sasa itabidi nianze kuangalia utaratibu mwingine. Mb 8 hata kuingia jf hazitoshi!
Wale wa kurusha picha na videoMbs 8 si za whatsap tu tena 2hrs
Halafu bado ukiweka salio linakatwa bila maelezo, hovyo kabisa vodacom. Mimi nina line yao kwa ajili ya matumizi ya m pesa tu na si vinginevyo!
Wakuu nimefufua line yangu ya airtel, naombeni mnipe menu, yani jinsi ya kuuliza salio, airtel money, kununua vifurushi nk.
Wanaotumia Airtel piga *149*81# ujipatie Dk 30, Sms 300 na Mb 300 kwa Sh.500 tuu.
Wale wa kurusha picha na video
Mpwa mbona mi airtel money nadunda tu?
Ila vodacom wahuni Sana sijui jeuri hii wanatoa wapi wapuuzi hawa....
Halafu bado ukiweka salio linakatwa bila maelezo, hovyo kabisa vodacom. Mimi nina line yao kwa ajili ya matumizi ya m pesa tu na si vinginevyo!