Mitandao ya kijamii ifungwe watu watie akili!

Mitandao ya kijamii ifungwe watu watie akili!

mtundu27

Member
Joined
Jul 17, 2018
Posts
78
Reaction score
123
Habarini wadau.
Hii nchi tunapoelekea nahisi tunazidi kulemazwa kwa kukaa nyumba ya keyboard na kutumia id fake.
Kwa yanayoendelea humu nchi katika uminywaji wa haki, hakika hamna mbadala zaidi ya kuingia ntaani na kudai katiba mpya bila kurudi nyuma.
Yaani kila uchaguzi ccm imekalia kuiba kura tu, na chama kikuu cha upinzani kupitia makene kutoa tamko, then tamko linakuwa circulated kwenye mitandao, watu wenye fake ID wanabwabwaja then story imeisha.
Mimi nadhani kuna haja hii mitandao izimwe ili watu wakose sehemu ya kutolea matamko na kupunguza jazba, wenda akili zitaingia kichwani.
Watz wamejaa woga utadhani vitoto vya primary vikimuona mwalimu na bakora wanavyotulia.
CCM wameonea wananchi vya kutosha, bila kutolewa madarakani, watabaki kuona wananchi mafala kama alivyosema mkapa, na tukaonekana mafala kweli kwa kukaa kimya.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasiasa wenyewe wanavunja moyo. Kiasi unajiuliza nini cha kufia. Hebu fikiria majimbo mengine kutangazwa upinzani ilibidi watu wapate kesi, vilema na kulala nje kupigania .
Lakini leo mtu anauacha ubunge na kuwauza wapiganaji wake kwa ahadi ya vyeo, na kweli unaona wansaliti wapiganaji !!!!

CCM kweli ni wezi na wanatumia vibaya madaraka. Tukubali UKUTA kuhairishwa ilikuwa kosa kubwa!!! . Lakini waTz nao tumekuwa waswahili, wanafki na wahuni . Upinzani una nguvu kubwa tu sana kinachokosekana leadership.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wadau.
Hii nchi tunapoelekea nahisi tunazidi kulemazwa kwa kukaa nyumba ya keyboard na kutumia id fake.
Kwa yanayoendelea humu nchi katika uminywaji wa haki, hakika hamna mbadala zaidi ya kuingia ntaani na kudai katiba mpya bila kurudi nyuma.
Yaani kila uchaguzi ccm imekalia kuiba kura tu, na chama kikuu cha upinzani kupitia makene kutoa tamko, then tamko linakuwa circulated kwenye mitandao, watu wenye fake ID wanabwabwaja then story imeisha.
Mimi nadhani kuna haja hii mitandao izimwe ili watu wakose sehemu ya kutolea matamko na kupunguza jazba, wenda akili zitaingia kichwani.
Watz wamejaa woga utadhani vitoto vya primary vikimuona mwalimu na bakora wanavyotulia.
CCM wameonea wananchi vya kutosha, bila kutolewa madarakani, watabaki kuona wananchi mafala kama alivyosema mkapa, na tukaonekana mafala kweli kwa kukaa kimya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usipende kuyasemea kinyume mambo unayoyapenda binafsi.
Unakosoa mambo unayoyatenda mwenyewe.
Kizuri kwako, wewe unakitafsiri na kukisema kwa ubaya.
Kwa mfano:
Mwanamke umpendaye, unatangaza humpendi na unamchukia vibaya!
Unamichepuko, lakini unapanda kwenye mimbari na kulaani wazinzi!
Unakunywa pombe hadi unazimika, lakini haupendi na unawachukia sana walevi!
Kwa lugha za kihenga wewe ni kizabizabina, siyo wa kupewa 'attention' kwenye hoja zako, maana yaweza kuwa ni ghilba, ni mitego ya kunasia wasio kuwemo.
Wewe umo Jf halafu unailaani Jf hiyohiyo!
Unaleta lawama za uchaguzi bila takwimu, kuonesha ni wapi hasa uliguswa!
Yaani ufitina na chuki zako unazileta kwenye hadhira kutuvuruga ili kuchuma huruma ya upendeleo bila kuelezea kinagaubaga kwa nini na kwa namna gani yalifanyika hayo unayoyalalamikia wewe, kuaminisha umma ili kuhalalisha tuhuma zako?
Mkuu ninachelea kusema kuwa wewe ni wa kuogopwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wadau.
Hii nchi tunapoelekea nahisi tunazidi kulemazwa kwa kukaa nyumba ya keyboard na kutumia id fake.
Kwa yanayoendelea humu nchi katika uminywaji wa haki, hakika hamna mbadala zaidi ya kuingia ntaani na kudai katiba mpya bila kurudi nyuma.
Yaani kila uchaguzi ccm imekalia kuiba kura tu, na chama kikuu cha upinzani kupitia makene kutoa tamko, then tamko linakuwa circulated kwenye mitandao, watu wenye fake ID wanabwabwaja then story imeisha.
Mimi nadhani kuna haja hii mitandao izimwe ili watu wakose sehemu ya kutolea matamko na kupunguza jazba, wenda akili zitaingia kichwani.
Watz wamejaa woga utadhani vitoto vya primary vikimuona mwalimu na bakora wanavyotulia.
CCM wameonea wananchi vya kutosha, bila kutolewa madarakani, watabaki kuona wananchi mafala kama alivyosema mkapa, na tukaonekana mafala kweli kwa kukaa kimya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hilo La kuzima mitandao sikuungi mkono...sisi wengine mitandao ni fursa zetu kibashara (Hasa Instagram na WhatsApp).. So, pambana tu na hali Mzee baba
 
Mkuu usipende kuyasemea kinyume mambo unayoyapenda binafsi.
Unakosoa mambo unayoyatenda mwenyewe.
Kizuri kwako, wewe unakitafsiri na kukisema kwa ubaya.
Kwa mfano:
Mwanamke umpendaye, unatangaza humpendi na unamchukia vibaya!
Unamichepuko, lakini unapanda kwenye mimbari na kulaani wazinzi!
Unakunywa pombe hadi unazimika, lakini haupendi na unawachukia sana walevi!
Kwa lugha za kihenga wewe ni kizabizabina, siyo wa kupewa 'attention' kwenye hoja zako, maana yaweza kuwa ni ghilba, ni mitego ya kunasia wasio kuwemo.
Wewe umo Jf halafu unailaani Jf hiyohiyo!
Unaleta lawama za uchaguzi bila takwimu, kuonesha ni wapi hasa uliguswa!
Yaani ufitina na chuki zako unazileta kwenye hadhira kutuvuruga ili kuchuma huruma ya upendeleo bila kuelezea kinagaubaga kwa nini na kwa namna gani yalifanyika hayo unayoyalalamikia wewe, kuaminisha umma ili kuhalalisha tuhuma zako?
Mkuu ninachelea kusema kuwa wewe ni wa kuogopwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ongea unavyojiskia, ila watz ni wanafiki mno, na social media especially jf imekuwa sehemu ya airout maumivu, ni bora isiwepo maumivu yawe ndani ili siku ifike waseme imetosha.
Unataka niongee nini? Nayoyatenda wapi?
2015 ni mangapi tumeshuhudia yakifanyika ili kwa hila tu wamtangaze malaika, na watu wakakilia jf na kwingine kupunguza machungu kwa kuairt out masikitiko yao.
Vijana wa IT wa ukawa wamekamatwa na kuswekwa ndani mpaka jiwe alipoapishwa huku wa ccm wakienjoy na kujitanua mlimani city.
Ni sehemu ngapi matokeo ya ubunge yalichelewa kutangazwa na kwingine kupinduliwa kwa mfano ilemela, je kawe na kinondoni heka heka alizopata mdee na mtulia umesahau?
Je kwa ester bulaya, mlala bungeni polisi walivyotaka kumbeba ila kura zilikuwa nyingi sana mpaka kubebeka ilikuwa ni aibu?
Mimi nimeleta hoja ili kweli akili itukaa vichwani, watu wanapindua matokeo na matz tumeridhika tu, sababu tunasehemu ya kuyasemea yakaondoa machungu.
Buyungu watu wamepindua matokeo wazi wazi, mawakala wanazuiwa vituoni, wengine wanasweka ndani kwa kuhoji, wengine wanapigwa, alafu maumivu yanahamishwa twitter, jf na kwingineko alafu kimya.
Eti mtu anasema instagram unafanyia biashara alafu unajiita mzalendo?
Kwahyo wewe ukishiba huku wengine wakikandamizwa wewe unaona ni sawa. Nchi ni ya watz wote, na ni mud umefika ccm kama wameshindwa wakae pembeni si kulazimisha watu kuwapenda, maana hata katiba iliyopo hawaiheshimu imebakia mabavu tu, eti ffu 400 kumtangaza chiza, stupid kabisa.
Bila mitandao kuzimwa na watu kuingia road, tutaendelea kuwa mafala kila kukicha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hayo uliyolalamika naona uko sawa,lakini wazo lako la kutaka kuzima mitandao ya kijamii nimekuona kama punguani.
 
Huna tofauti na huyu rais Wa misiba
IMG-20180818-WA0005.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongea unavyojiskia, ila watz ni wanafiki mno, na social media especially jf imekuwa sehemu ya airout maumivu, ni bora isiwepo maumivu yawe ndani ili siku ifike waseme imetosha.
Unataka niongee nini? Nayoyatenda wapi?
2015 ni mangapi tumeshuhudia yakifanyika ili kwa hila tu wamtangaze malaika, na watu wakakilia jf na kwingine kupunguza machungu kwa kuairt out masikitiko yao.
Vijana wa IT wa ukawa wamekamatwa na kuswekwa ndani mpaka jiwe alipoapishwa huku wa ccm wakienjoy na kujitanua mlimani city.
Ni sehemu ngapi matokeo ya ubunge yalichelewa kutangazwa na kwingine kupinduliwa kwa mfano ilemela, je kawe na kinondoni heka heka alizopata mdee na mtulia umesahau?
Je kwa ester bulaya, mlala bungeni polisi walivyotaka kumbeba ila kura zilikuwa nyingi sana mpaka kubebeka ilikuwa ni aibu?
Mimi nimeleta hoja ili kweli akili itukaa vichwani, watu wanapindua matokeo na matz tumeridhika tu, sababu tunasehemu ya kuyasemea yakaondoa machungu.
Buyungu watu wamepindua matokeo wazi wazi, mawakala wanazuiwa vituoni, wengine wanasweka ndani kwa kuhoji, wengine wanapigwa, alafu maumivu yanahamishwa twitter, jf na kwingineko alafu kimya.
Eti mtu anasema instagram unafanyia biashara alafu unajiita mzalendo?
Kwahyo wewe ukishiba huku wengine wakikandamizwa wewe unaona ni sawa. Nchi ni ya watz wote, na ni mud umefika ccm kama wameshindwa wakae pembeni si kulazimisha watu kuwapenda, maana hata katiba iliyopo hawaiheshimu imebakia mabavu tu, eti ffu 400 kumtangaza chiza, stupid kabisa.
Bila mitandao kuzimwa na watu kuingia road, tutaendelea kuwa mafala kila kukicha.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani watu hawawezi kuingia barabarani mpaka mitandao izimwe??? mi nafikiri muda wa kuingia barabarani ukifika huwa hakuna wa kungoja, Maumivu yakizidi sana utatuona tu barabarani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jina lako baada ya "t" inapaswa iweke "k".. Bure kabisa!
Sidhani kama kwa kutukana kwako kumeongeza thamani yoyote ya hii mada.
Jibu hoja kwa hoja, achana na mleta hoja.

Soma tena hilo bandiko, mleta mada anahisi kwa kuwepo hii mitandao kunawapa nafasi kubwa viongozi wa vyama vya upinzani kupooza hasira za wanachama dhidi ya ccm ambayo wanahisi inawanyanyasa.
 
Back
Top Bottom