Sidhani kama kuna haja ya kuzima mitandao, maana hata hao ma ccm yanatamani kweli mitandao izimwe, mitandao ni mizuri kwa sababu inatoa habari na watu wanatoa maoni yao pale na pia inahamasisha, tatizo letu watanzania ni unafiki, uoga, kujipendekeza, tamaa, na kukosa uzalendo na pia hatuna umoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.