Eliza wa Tegeta
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 251
- 108
amkane basi kwamba yule sio mwanae ili ajitenge na 'uchafu' ............kama mwanae kupata Div 4 ni uchafu.
mwanaume mzima kuhongwa nguo unakuwa ushajichafua kabisa mbele ya wanaume wenzako, hata mbele ya wanawake wa maana.
mwanaume mzima kuhongwa nguo unakuwa ushajichafua kabisa mbele ya wanaume wenzako, hata mbele ya wanawake wa maana.