beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amesema Serikali itasimika mitambo mitano ya kufua Oksijeni katika Halmashauri za Karatu, Mlele, Bunda, Masasi na Nyasa ambapo kila moja itapata Milioni 600
Akizungumza leo akiwa Dodoma ameeleza, "Wataalamu wameangalia maeneo yenye mlipuko wa magonjwa ya mara kwa mara, yenye Wananchi wengi na yaliyo mbali na Makao Makuu ya Halmashauri"
Akizungumza leo akiwa Dodoma ameeleza, "Wataalamu wameangalia maeneo yenye mlipuko wa magonjwa ya mara kwa mara, yenye Wananchi wengi na yaliyo mbali na Makao Makuu ya Halmashauri"