Mita 200: Jaji mkuu alisema ruksa, Chikawe naye amesema ruksa

Mita 200: Jaji mkuu alisema ruksa, Chikawe naye amesema ruksa

Huo ndiyo ukweli halisi ambao CCM inakuwa vigumu kuumeza.

Hilo ndilo lilikuwa goli la mwisho la mkono ambalo lilikuwa limebaki kwa maccm.

Hata hivyo hebu tuangalie kwa kutumia common sense tu, ikiwa NEC wamesema mara tu baada ya kuhesabu kura matokeo yote ya udiwani, ubunge na Urais yatabandikwa vituoni, sasa matokeo hayo yatasomwa na nani iwapo wapiga kura wote watakuwa 'wamelazimishwa' kwenda kulala majumbani kwao?

Swali la pili ambalo ndilo la muhimu zaidi, kwa kuwa vituo vingi vya kupigia kura vipo kwenye makazi ya watu, sasa iwapo agizo la JK kutaka watu wasiwepo ndani ya mita 200 toka kituo cha upigaji kura, ina maana wakazi wote hao walio ndani ya mita 200 watatakiwa kuwa 'wakimbizi' kwa lazima kuyakimbia makazi yao?!
 
Huo ndiyo ukweli halisi ambao CCM inakuwa vigumu kuumeza.

Hilo ndilo lilikuwa goli la mwisho la mkono ambalo lilikuwa limebaki kwa maccm.

Hata hivyo hebu tuangalie kwa kutumia common sense tu, ikiwa NEC wamesema mara tu baada ya kuhesabu kura matokeo yote ya udiwani, ubunge na Urais yatabandikwa vituoni, sasa matokeo hayo yatasomwa na nani iwapo wapiga kura wote watakuwa 'wamelazimishwa' kwenda kulala majumbani kwao?

Swali la pili ambalo ndilo la muhimu zaidi, kwa kuwa vituo vingi vya kupigia kura vipo kwenye makazi ya watu, sasa iwapo agizo la JK kutaka watu wasiwepo ndani ya mita 200 toka kituo cha upigaji kura, ina maana wakazi wote hao walio ndani ya mita 200 watatakiwa kuwa 'wakimbizi' kwa lazima kuyakimbia makazi yao?!
Maswali mazito, lakn utapewa majibu mepesi!
 
RUKSA KUSUBIRI MATOKEO MITA 200.

JK kapagawa baada ya RAIA kubadili hilo neno na kuliita KULINDA KURA (Kusubiri Matokeo)
 
Huo ndiyo ukweli halisi ambao CCM inakuwa vigumu kuumeza.

Hilo ndilo lilikuwa goli la mwisho la mkono ambalo lilikuwa limebaki kwa maccm.

Hata hivyo hebu tuangalie kwa kutumia common sense tu, ikiwa NEC wamesema mara tu baada ya kuhesabu kura matokeo yote ya udiwani, ubunge na Urais yatabandikwa vituoni, sasa matokeo hayo yatasomwa na nani iwapo wapiga kura wote watakuwa 'wamelazimishwa' kwenda kulala majumbani kwao?

Swali la pili ambalo ndilo la muhimu zaidi, kwa kuwa vituo vingi vya kupigia kura vipo kwenye makazi ya watu, sasa iwapo agizo la JK kutaka watu wasiwepo ndani ya mita 200 toka kituo cha upigaji kura, ina maana wakazi wote hao walio ndani ya mita 200 watatakiwa kuwa 'wakimbizi' kwa lazima kuyakimbia makazi yao?!



Exactly...!!!

Tatizo la CCM wote ni 0713...

Hii sheria kila mwaka wa uchaguzi inatumika, iweje mwaka huu wa uchaguzi WAIGEUZE..? CCM is DEAD 100%

200 meters, tunaweka kambi, kula, kulala, makarate, KAMATA MWIZI MEN..macho na masikio yote vituoni... HATA panya haruhusiwi kwenda kituoni... seriously...PIGA KURA, LINDA KURA... UTUMWA SASA BASI... liwalo na liwe... kama kufa si tutakufa tu...!!! 😨😨😨😨😨😨

Chagua Lowassa, Ukawa...!!
 
Mita 200.... masikio na macho vituoni, hadi kieleweke... AJE MTU ATUGUSE..!!! au kidudu mtu aingie kituoni, tunamaliza biashara...!!! Hakuna mtu kuingia kituoni kutokea sehemu yoyote wakati wa kuhesabu kura... tutalinda jasho letu hadi kufa...!!! Liwalo na liwe..!!! 😨😨😨😨

Utumwa sasa basiiii.....!!! Piga kura, linda kura yako... ni HAKI YAKO...!!!
 
Hivi hukumu ikitoka asubuhi ya Alhamisi ya leo na upande utakaoshindwa hauwezi kukata rufaa Mahakama ya Rufaa na wakati huo huo kuiomba Mahakama hiyo isitishe uchaguzi mpaka kesi ya msingi isikilizwe na hukumu itokewe?

Kumbuka hukumu inaweza toka asubuhi ya leo na mchana au hata kesho asubuhi mawakili wanaweza kuwahi Mahakama ya Rufaa wakidhamiria kufanya hivyo.

Wanasheria hili linawezekana?

Tusaidieni tusiojua
 
Magari 777 ni useless sasa

Mkuu yatatumika kuwazima wananchi wakati Kik.wete akilazimishia matokeo ya kumbeba Magufuli wakati akiwa amekatwa na raia!! Pia kwenye baadhi ya majimbo kama Ubungo, Kibamba, Kawe, Singida Mashariki, Mbeya Mjini, Ilemela na Nyamagana!
 
Maskini bao la mkona limeshaanza punguzwa nguvu kwa Mita 200 na HOME SHOPPING CENTRE wameshafunga.
 
Magari hayo dalili ya uoga wa mkulu

Sio woga bali mpango mahsusi wa kuwatia hofu wananchi ili kuwapa fursa magambaz kufunga goli la mkono!! viroja, badala ya kuwekeza kwenye dawa, madawati, maji na elimu unanaua magari lukuki kuwatishia maisha wananchi wako, waajiri wako as if nchi ni mali yako!! shame upon them all magambaz; hatudanganyiki Ng'o!!!!
 
wamedai kama hawaruhusiwi kukaa hata mita 200 wakati vituo vipo ndani ya makazi yao hawana namna wadai yale magari 777 yameletwa kwa ajili yao.
 
Hzo za kununua hayo magari, zngetumika kununua ambulance kwa ajil ya kusafirisha wagonjwa
 
Uzuri ni kwamba kituo changu hata hakizidi mita 50 kuna barabara. Na vingi ndivyo vilivyo. Na hakuna wa kunikataza kutembea kwenye ile barabara.

Hivyo, nitakachofanya ni hivi. Ikifika saa 10:00 jioni. NItakuwa natembea down the stree halafu up the street. Yaani nitaanza kupita kwenda mbele halafu nikifika mbele ninarudi nyuma.

Hapo hakuna wa kunikamata. Tena nikona kuna mtu ananifuata nakaa naye mbali. Wakati huo niko na tochi yangu hata kama ni saa sita za usiku.

Nani atanizuia.
 
Back
Top Bottom