Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,132
- 22,350
Ndugu wapendwa
Leo hii nimekuja kutoa Mawazo yangu kidogo jinsi ya kuokoa ndoa za watanzania,,, leo hii ndoa si kama wazee wetu walivyokuwa wakipendana kutoka moyoni,.... ndo zao leo hii zimejaa madhumuni kibao ambayo mengine yanawekwa kwenye imani yatatokea baada ya ndoa na hatari ni pale mambo yanapoenda kinyume harusi za leo zinaisha ndani ya siku saba,.
Nimekaa nkaona tusiporekebishana haya mambo hata sie wahudhuriaji makanisani tutaishia kubeba dhambi juu ya awa wanandoa wa leo kama mpenda maendeleo ya wanandoa ningeshauri kuwepo na jukwaa la wanandoa ama kama una mawazo yoyote ama umekumbana na misuko suko ukafanikiwa kuichomoa embu karibu hapa tupe dondoo tupate kushare jinsi ulivyofanikiwa kuhimili vishindo.
....wewe msomaji bwana harusi mtarajiwa unakaribishwa kupata hints nini cha kufanya na je baada ya ndoa kuna soln yoyote yakitokea matatizo....
Nawatakia ndoa njema zenye utulivu,tusaidiane kutoa mawazo endelevu jamani na kusaidia ndoa zetu,..yapo matatizo mengi katika ndoa ,...kama ni mwathirika mmoja wapo karibu jukwani tupate mawazo yako
Leo hii nimekuja kutoa Mawazo yangu kidogo jinsi ya kuokoa ndoa za watanzania,,, leo hii ndoa si kama wazee wetu walivyokuwa wakipendana kutoka moyoni,.... ndo zao leo hii zimejaa madhumuni kibao ambayo mengine yanawekwa kwenye imani yatatokea baada ya ndoa na hatari ni pale mambo yanapoenda kinyume harusi za leo zinaisha ndani ya siku saba,.
Nimekaa nkaona tusiporekebishana haya mambo hata sie wahudhuriaji makanisani tutaishia kubeba dhambi juu ya awa wanandoa wa leo kama mpenda maendeleo ya wanandoa ningeshauri kuwepo na jukwaa la wanandoa ama kama una mawazo yoyote ama umekumbana na misuko suko ukafanikiwa kuichomoa embu karibu hapa tupe dondoo tupate kushare jinsi ulivyofanikiwa kuhimili vishindo.
....wewe msomaji bwana harusi mtarajiwa unakaribishwa kupata hints nini cha kufanya na je baada ya ndoa kuna soln yoyote yakitokea matatizo....
Nawatakia ndoa njema zenye utulivu,tusaidiane kutoa mawazo endelevu jamani na kusaidia ndoa zetu,..yapo matatizo mengi katika ndoa ,...kama ni mwathirika mmoja wapo karibu jukwani tupate mawazo yako