Misukosuko ya Ndoa na Mshauri wa ndoa

kwanza naomba nikueleze kwamba ndoa za zamani nilikuwa na matatizo kama za sasa ila ni unyanyasaji na mfumo dume uliwanyima sana haki ya kuhoji wanawake wakati kwa sasa awareness na movement za usawa zimesaidia wanawake kujua na kutetea haki zao... vitu kama vipigo, matusi na masimango kwa sasa vimetungiwa sheria na pia akina mama wanaelimu na wengine wanafanya biashara nk. hivyo relevance ya paragraph one as far as i am concerned ni "qualified"

hapo tuko pamoja sana, siku hizi ndoa nyingi ni circumstantial na pesa imepata mwenyewe (imeingia kwenye madhumuni ya ndoa, hii ni kwa tafiti kadhaa zhasa ulaya wanaweka haya mamo na sababu zake, kama sikosei...ukisoma Times online kwenye upande wa mahusiano kuna shule tamu sana ya haya mambo


ndoa has to be made for right reasons, kama sio righ reasons hata ufanyeje haitakuwa right, na solution ni wawili tu!!!

ushauri ni kwamba divorce ziwe zinaruhusiwa iwapo hakuna right reasons za kuwa pamoja, tusifanye wanawake watumwa kwenye ndoa zetu they have rights too; na akina mama wasifanye wababa mapunda kwenye ndoa kama haiwezekani, then tutambae
well said
 
Back
Top Bottom