Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,546
- 22,981
Hapana,hizo ni zimekosa matunzo tu,ila zangu haziwezi fikia hatua hiyo😆Hizo ndio nywele natural sasa na zina afya tele.. Hapo hakuna msuko utadunda😀
Hapana,hizo ni zimekosa matunzo tu,ila zangu haziwezi fikia hatua hiyo😆Hizo ndio nywele natural sasa na zina afya tele.. Hapo hakuna msuko utadunda😀
Bibi yenu asingekuwa na nywele nyeupe kutoka na Uzee, ningempatia hela akasuke aina hiyo ya nywele
Aaaaiiiiiii babu kumbe nawewe umependa hii,sasa badala yake hebu ni m-pesa mimi nna nywele blackberry kabisa 😌,coz nme screenshot kabisa kwa matumizi ya baadae.Bibi yenu asingekuwa na nywele nyeupe kutoka na Uzee, ningempatia hela akasuke aina hiyo ya nywele
Bahati mbaya wakati ukuta 🙌
Ni msuko mzuri sana MjukuuAaaaiiiiiii babu kumbe nawewe umependa hii,sasa badala yake hebu ni m-pesa mimi nna nywele blackberry kabisa 😌,coz nme screenshot kabisa kwa matumizi ya baadae.
nipo ramadhan hapa njia panda nakujaNi msuko mzuri sana Mjukuu
Ukisuka hivyo then mkawa na evening walk na Mkwe, lazima akushike kiuno muda wote mkiwa mnatembea ili kuongeza Ulinzi Kwa Vijana wa hovyo wasikusogelee🤗
Haya ukitoka Mjini utapitia bomani kwangu, utakuta nimekuwekea hiyo hela karibu na mtungi wa Maji
Nahisi nitakuwa nimeshalala Babu yako muda huo 😜
Sawa Mjukuu, utanikuta nakusubirinipo ramadhan hapa njia panda nakuja
😌😌Kama kweli vileSawa Mjukuu, utanikuta nakusubiri
Lazima upendeze Mjukuu wangu 🤗
Hahaha..........kuwa na Imani na Wazee Mjukuu 😜😌😌Kama kweli vile
Wazee wa siku hizi wa hovyoooHahaha..........kuwa na Imani na Wazee Mjukuu 😜
Haya uje saivi 🤗
Hahaha............kuwa na Imani na Wazee Mjukuu, hasa Mzee miye🤗Wazee wa siku hizi wa hovyooo
Sawa babuuuuHahaha............kuwa na Imani na Wazee Mjukuu, hasa Mzee miye🤗
Haya nakusubiri 😜
Babu yako nakusubiri tangu juzi ujue 😜Sawa babuuuu
ulizima cm nilipiga sanaaaaa nilipofikaBabu yako nakusubiri tangu juzi ujue 😜
Siku hizi hakuna twende kilioni ?
Ebu tuone nywele zakoZipo,,,
Kwasasa sisuki,nimenyoaEbu tuone nywele zako
Kwasasa nimenyoa.Ebu tuone nywele zako
Ebu tuone ulivyopendeza baada ya kunyoaKwasasa sisuki,nimenyoa
Kwasasa nimenyoa.
Aaah siruhusiwi😍Ebu tuone ulivyopendeza baada ya kunyoa