Missing Tyta

Missing Tyta

Jamaa Hapa Jf Alikuwa Na Mambo Mazuri Sana Pia Wale Wanaosema Namtafuta Mpenzi Ama Unaleta Kisa Uje Atakuletea Thread Zako Zote
 
Nakumbuka mpambano wake na lara 1. Dah walikuwa wanapasua yai la hatariii. Yaani ukiangalia hizo nyuzi ni lazima urudi darasani maana ni yai la kisasa kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu alikuwa mzee wa kuunganisha uzi za watu, ukiwa mnafiki lazima akuanike na uzi zako zote hapa hapa jukwaani jinsi unavyojikanyaga.
 
Nakumbuka mpambano wake na lara 1. Dah walikuwa wanapasua yai la hatariii. Yaani ukiangalia hizo nyuzi ni lazima urudi darasani maana ni yai la kisasa kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Alimbamiza Lara1 vibaya sana, lara1 aliomba pooo, alafu nafikiri ni tozi fulani hivi anapenda sana basketball, pia anatema sana yai!
 
Yaani ilikuwa ni mechi kali sana, mi nahisi tyta alishinda maana ilifika wakati lara1 alianza kudai anaonewa na tyta sababu ya jinsia yake.
Kweli dictionary zilipata tabu sana!!
Exactly. Mwishoni lara1 aliomba poo akaingia mitini mazima. very very rare kwa lara 1. Nahisi baada ya mpambano alimtafuta ampe zawadi ya ushindi. Hahahaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom