Missing Tyta

Missing Tyta

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
365,947
Reaction score
845,970
Inawezekana wengi hawamjuu huyu gwiji bingwa wa jukwaa hili la picha, enzi zake ilikuwa utake picha gani akose kukupoza kiu yako? Alini inspire sana kuingia JF PHOTOS... lakini ni kama zaidi ya miaka miwili sasa simuoni popote!
Hii ndio ilikuwa Avatar yake maarufu
e777d5ca0b4ca358ef43197c13d5327b.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tyta kweli huyu jamaa alilunogesha sana hili jukwaa sijui kapotelea wapi..

Halafu hata kwenye majukwaa mengne wakongwe wengi wamepotea sana. Kipind hicho jf ilikuwa gt kweli. Lakn sasa hivi kuna kundi la vijana limevamia jf yaan majungumajungu, umbea umbea tu dah!

Tyta, The secretary,Ngongo ,The Boss ,msemakweli, Malafyale na wengne wengiiiiii
siku hizi ni vita ya kushindana LIKES bila kujali umepost nini... But its alright lazima mabadiliko yatokee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana wengi hawamjuu huyu gwiji bingwa wa jukwaa hili la picha, enzi zake ilikuwa utake picha gani akose kukupoza kiu yako? Alini inspire sana kuingia JF PHOTOS... lakini ni kama zaidi ya miaka miwili sasa simuoni popote!
Hii ndio ilikuwa Avatar yake maarufu
e777d5ca0b4ca358ef43197c13d5327b.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa alikuwa ana picha ya tukio lolote. Wale wazee wa lete picha walimkoma! Huwa anakuwepo jukwaa la michezo NBA Special Thread.
Tyta unaitwa huku
 
Tyta kweli huyu jamaa alilunogesha sana hili jukwaa sijui kapotelea wapi..

Halafu hata kwenye majukwaa mengne wakongwe wengi wamepotea sana. Kipind hicho jf ilikuwa gt kweli. Lakn sasa hivi kuna kundi la vijana limevamia jf yaan majungumajungu, umbea umbea tu dah!

Tyta, The secretary,Ngongo ,The Boss ,msemakweli, Malafyale na wengne wengiiiiii

Watakua na wenyewe ma great thinker, kila kitu ni process.
 
Huyo jamaa alikuwa ni shiida... Sijui ni kipi kilimkimbiza jamanii...
 
Watakua na wenyewe ma great thinker, kila kitu ni process.
Kuna watu aina nne duniani
Kuna mtu anajua na anajua kama anajua huyu ni bora kuliko wote
Kuna mtu anajua lakini hajui kama anajua huyu anahitaji maelekzo madogo na kuna mtu hajui na anajua kama hajui
Huyu yupo tayar kujifunza
Kuna wa mwisho yeye hajui na hajui kama hajui huyu anasubiri kufa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom