Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
Mmmhhh najaribu kuvaa viatu vya Aisha vinanipwaya kabisa
Ndo usininyime😛
Mmmhhh najaribu kuvaa viatu vya Aisha vinanipwaya kabisa
Ndo usininyime😛
Daaah Leo nimesoma vipande vyote hadi mwili umenisisimka
Af leo weeken u know
Kwani hakusamehewa? si ndo maana waliendelea kuwa pamoja alichotakiwa sasa kumfanya mumewe arudi kwake ambaye kwa wakat huo alikuwa hana mpango na yeye ndo gharama zenyewe hizo, wew unafikiri ilikuwa rahisi kusamehe na kugeuka ghafla lazima ichuke muda kwani mwanaume tayari alikuwa kainvest kwingineBinadamu yeyote ana makosa...usipotaka kumsamehe mwenzio kwamba we ndo uko perfect au ni vipi?
Unajua Khantwe kusema tu nimekosa nisamehe sio tiket ya kusamehewa lazima uingie gharama na gharama inakuja kwa namna yoyote ile, na gharama ya Aisha ilikuwa hiyo tena angetumia akili kumrudisha mume wake Ummy angemsaidia ila kwakuwa hakujua afanye nini ndo taabu yake, kingine aliamua kufanya kimya kimya kitu ambacho kilimkost, unaanza kufanya uchunguzi wakati unajua mambo yamemwagika uchunguzi wa nini angemface mume wake kuwa najua una mwanamke mwingine naomba tukae chini tuyamalize mumewe angemsikiliza, umeona jibu alilopewa baada ya kuuliza Faidha ni nani?Sasa si alijaribu ndani akashindwa akaamua kujaribu plan B
Yeah le.mubebs u know lets connect ahfu tujismartishe kama tigo...umeona bango lao apo makumbusho? Lol
Kwani hakusamehewa? si ndo maana waliendelea kuwa pamoja alichotakiwa sasa kumfanya mumewe arudi kwake ambaye kwa wakat huo alikuwa hana mpango na yeye ndo gharama zenyewe hizo, wew unafikiri ilikuwa rahisi kusamehe na kugeuka ghafla lazima ichuke muda kwani mwanaume tayari alikuwa kainvest kwingine
Huyu Beka p.umbaf thana....
Hahahahahaha! kwahiyo unafikiri tabasamu lilitosha kumrudisha mume ambaye tayari alikuwa amenaswa kitanzin? mim nadhani mwanaume sio malaya labda kama definition ya malaya siijui, akampa talaka mmoja na kubaki na mmoja hakuwa na tamaa ya kubaki na wote wawili na aisngeweza kumuoa dada kwa sababu moja alikuwa mkubwa kwake ni ugwadu tu ulimfanya akachuja lakini pili kuepusha mgogoro wa familia, Beka alikuwa sahihi kwa hili labda na huyo Faidha asingemuoa ningekubaliana na weweUnaambiwa Aisha alianza Kuwait na tabasamu pana mumewe akirudi anampokea vizuri bila hata kumuuliza kwa ukali....angembeba mgongoni????? Shenz zake tu mwanaume Malaya huyo....
Kwa Mara ya pili baada ya chai chungu nimesoma hadithi nyingine humu jamvini.
Hahahahahaha! kwahiyo unafikiri tabasamu lilitosha kumrudisha mume ambaye tayari alikuwa amenaswa kitanzin? mim nadhani mwanaume sio malaya labda kama definition ya malaya siijui, akampa talaka mmoja na kubaki na mmoja hakuwa na tamaa ya kubaki na wote wawili na aisngeweza kumuoa dada kwa sababu moja alikuwa mkubwa kwake ni ugwadu tu ulimfanya akachuja lakini pili kuepusha mgogoro wa familia, Beka alikuwa sahihi kwa hili labda na huyo Faidha asingemuoa ningekubaliana na wewe
Nilizidiwa...!! Ila tuliyamaliza siyo kama beka