Missed call ya shemeji

Missed call ya shemeji

Mm haijanifrahsha mwisho wake,,,,inaonesha hakuna room for improvement,,,,mm nltegmea aisha atapata second chance,,,,bt anyway ni hadith tu

hii hapa part 2
Miezi miwili baada ya beka kufunga ndoa na faudhia ,beka alimpigia simu yule meneja Wa benki na kumshukuru kwa msaada wake.meneja aliwaalika beka na mkewe nyumbani kwake kwa ajili ya chakula cha mchana siku ya jpili.
Kule kijijini, baada ya maisha kuwa magumu ime alimua kutorokea mjini ili kwenda kusaka ridhiki kidogo.baada ya kuhangaika hapa na pale akapata kazi ya usafi katika benki anapofanyia kazi fauzia.
Itaendelea kesho SAA tatu asubuhi
 
hii hapa part 2
Miezi miwili baada ya beka kufunga ndoa na faudhia ,beka alimpigia simu yule meneja Wa benki na kumshukuru kwa msaada wake.meneja aliwaalika beka na mkewe nyumbani kwake kwa ajili ya chakula cha mchana siku ya jpili.
Kule kijijini, baada ya maisha kuwa magumu ime alimua kutorokea mjini ili kwenda kusaka ridhiki kidogo.baada ya kuhangaika hapa na pale akapata kazi ya usafi katika benki anapofanyia kazi fauzia.
Itaendelea kesho SAA tatu asubuhi
Hahahahaha hapo unatengeneza script za muv za kibongo
 
Daudi1 aka Beka thanx kwa uzii huu umeniiburudisha. Pia nashukuru nimeuona leo nimejisomea vzr sana ningeuona jana ningeteseka saana. :clap2::clap2::clap2::clap2: to you@Daud1
 
Last edited by a moderator:
Mh kumbe ndoa zina mambo loh......maskin Aisha alitaka ufree na sasa kaupata yaan kama namuona vile...af mbn hujaongelea mimba ya dada'ke?@daudi1
 
Mh kumbe ndoa zina mambo loh......maskin Aisha alitaka ufree na sasa kaupata yaan kama namuona vile...af mbn hujaongelea mimba ya dada'ke?@daudi1
Ile alikuwa anajambisha tu kupima mapenzi kama yapo kwel
 
Yan mtu amefumaniwa af analeta jeuri....mbaya zaidi mwenzie kagundua kosa na kuomba radhi lenyewe linakaza tu...mxiiiiiiuuuuu
Tatzo aligundua shuka wakati kumekucha wakat huo tayari Beka alikuwa amechanganywa na penzi la nje, ukipendwa pendeka huyo anayekupenda akipeperuka kumrudisha itakugharimu sana
 
Ndo mana mi nlisema huyu Beka shenz zake....
Mwanamke ndo mwenye kosa halafu, amegundua kuwa kosa lake ni lipi anatumia jihad hata kwa wasio husika, angekomaa kwa mumewe maana yeye ndo aliyepiga hatua za kwenda nje sasa anaanza kuleta timbwili maofisini mwa watu ili iweje
 
Yan mtu amefumaniwa af analeta jeuri....mbaya zaidi mwenzie kagundua kosa na kuomba radhi lenyewe linakaza tu...mxiiiiiiuuuuu

Haya msome Daudi1 hapa chini


Tatzo aligundua shuka wakati kumekucha wakat huo tayari Beka alikuwa amechanganywa na penzi la nje, ukipendwa pendeka huyo anayekupenda akipeperuka kumrudisha itakugharimu sana


Mkiambiwa achen jeuri hamtaki
 
Last edited by a moderator:
Mm haijanifrahsha mwisho wake,,,,inaonesha hakuna room for improvement,,,,mm nltegmea aisha atapata second chance,,,,bt anyway ni hadith tu

jamaa katumia akili sana....wengi tulifikiria kama wewe but jamaa kadeviate kabisa....its rare sio kama bongo movies ikianza tu umeshajua itaishaje
 
Tatzo aligundua shuka wakati kumekucha wakat huo tayari Beka alikuwa amechanganywa na penzi la nje, ukipendwa pendeka huyo anayekupenda akipeperuka kumrudisha itakugharimu sana

Binadamu yeyote ana makosa...usipotaka kumsamehe mwenzio kwamba we ndo uko perfect au ni vipi?
 
Mwanamke ndo mwenye kosa halafu, amegundua kuwa kosa lake ni lipi anatumia jihad hata kwa wasio husika, angekomaa kwa mumewe maana yeye ndo aliyepiga hatua za kwenda nje sasa anaanza kuleta timbwili maofisini mwa watu ili iweje

Sasa si alijaribu ndani akashindwa akaamua kujaribu plan B
 
Back
Top Bottom