Missed call ya shemeji

Missed call ya shemeji

Unaambiwa Aisha alianza Kuwa na tabasamu pana mumewe akirudi anampokea vizuri bila hata kumuuliza kwa ukali....angembeba mgongoni????? Shenz zake tu mwanaume Malaya huyo....

Ulitegemea kitabasamu tu ndiyo ingemaliza machungu yote moyoni.......
Hata mm usingenipata ng'o na kitabasamu chako......
Maamuzi ya kupiga mzigo chini yalikuwa sahihi kabisaaaaa
 
"mwanaume akipata anachokihitaji basi" na mara nyingi imekuwa hivyo maana kila analoliwaza mtu humtokea, tuendelee kupata uhondo huuu lakini tukumbuke michepuko haifai baki njia kuu
@Daud1 mifano yako na Elimu ni kiboko
lakini kaa ukijua huwezi baki Njia Kuu kwani hutafika
Barabara zoooote na zozote lazima zichepuke na kuzaa barabara nyingine kuu

  • Dar- Moro Chalinze ni mchepuko
  • Chalinze ni lazima ukachepuke mbele kwa mbele km ni Tanga Moshi Himo arusha nakwingineko
  • Moro nako
Maana yangu kuna wengine wakorofi km huyo Bi Asha kumnyima mumewe anafikiri ni kumkomoa

Yaani mifano yako ipo hai kabisa na mm inanigusa nishawahi kunyimwa miezi 6 na sikuchepuka mwenzangu akafurahiiii kwani alikuwa ananilinda kila ninapokwenda
 
Mmm ni nzuri na funzo kubwa lakini pia sijapenda ilivyoishia mi nilitegemea Beka pia angetambua kama na yeye kafanya makosa kuchepuka na hivyo kumpa Aisha second chance na ndoa yao ikawa yenye furaha tena
 
Mmm ni nzuri na funzo kubwa lakini pia sijapenda ilivyoishia mi nilitegemea Beka pia angetambua kama na yeye kafanya makosa kuchepuka na hivyo kumpa Aisha second chance na ndoa yao ikawa yenye furaha tena
Hiyo ingewezekana kama hakuwa na mtu mwingine nje, kwa hali ilipokuwa imefikia hata angepewa second chance isingekuwa kama zaman
 
@Daud1 mifano yako na Elimu ni kiboko
lakini kaa ukijua huwezi baki Njia Kuu kwani hutafika
Barabara zoooote na zozote lazima zichepuke na kuzaa barabara nyingine kuu

  • Dar- Moro Chalinze ni mchepuko
  • Chalinze ni lazima ukachepuke mbele kwa mbele km ni Tanga Moshi Himo arusha nakwingineko
  • Moro nako
Maana yangu kuna wengine wakorofi km huyo Bi Asha kumnyima mumewe anafikiri ni kumkomoa

Yaani mifano yako ipo hai kabisa na mm inanigusa nishawahi kunyimwa miezi 6 na sikuchepuka mwenzangu akafurahiiii kwani alikuwa ananilinda kila ninapokwenda
Asante ndugu nimejikita katika eneo hilo, watu wengi wanaingia kwenye mahusiano bila kujua sababu za kuingia huko wanapokutana na changamoto wanatafuta visingizio ambavyo kwa namna moja au nyingine huwa ni maumivu kwa upande wa pili, nitajitahidi kutafuta hadth zenye mafunzo kama haya kwana namna moja au nyingine watu wakafunguka na kubadili mitazamo juu ya mahusiano. Siku hizi inafika point "mwanamke anakuambia bila harusi hakuna ndoa" maana yake watu wanawaza harusi kuliko ndoa ndo maana hata Aisha hakuona shida kumnyima mwenzie huku akijiona yuko sahihi maana yake ni kwamba kwenye ndoa aliingia kwa fashion
 
Asante ndugu nimejikita katika eneo hilo, watu wengi wanaingia kwenye mahusiano bila kujua sababu za kuingia huko wanapokutana na changamoto wanatafuta visingizio ambavyo kwa namna moja au nyingine huwa ni maumivu kwa upande wa pili, nitajitahidi kutafuta hadth zenye mafunzo kama haya kwana namna moja au nyingine watu wakafunguka na kubadili mitazamo juu ya mahusiano. Siku hizi inafika point "mwanamke anakuambia bila harusi hakuna ndoa" maana yake watu wanawaza harusi kuliko ndoa ndo maana hata Aisha hakuona shida kumnyima mwenzie huku akijiona yuko sahihi maana yake ni kwamba kwenye ndoa aliingia kwa fashion
Mkuu upo sahihi kabisa
na hiili fundisho limegonga penyewe

  • unaporidi safari ingine ingiza na watoto utaona ni nguzo kubwa ya KUTOTENGANA na hasa kupunguza umalaya na michepuko
  • Aisha angekuwa na watoto Beka asingefanya vituko vya kutembea na dada Ime ambaye naye angekuwa na watoto au Faidha.
  • Beka asingethubutu kuoa wanawake wenye watoto
  • Beka ni mvivu kulea anataka alelewe tu
  • Ni fundisho kwa wanaoingia katika Ndoa changa
Kwa ufupi hii hadithi ni ya marika yote lakini hawana majukumu ya kulea,
tofauti na niliyoikuta huko mbele ya watoto wa shule kungonoka na kupiga walimu wao
Bravoo daud1
 
Last edited by a moderator:
Ulitegemea kitabasamu tu ndiyo ingemaliza machungu yote moyoni.......
Hata mm usingenipata ng'o na kitabasamu chako......
Maamuzi ya kupiga mzigo chini yalikuwa sahihi kabisaaaaa

Kumbe alitakiwa afanyeje ndo mtupe maujanja hapa..... Kama msamaha alishaomba na unyumba alikuwa tayari kutoa kadri mumewe anavyotaka na hili ndo lilikuwa kosa lake kubwa....
 
Kumbe alitakiwa afanyeje ndo mtupe maujanja hapa..... Kama msamaha alishaomba na unyumba alikuwa tayari kutoa kadri mumewe anavyotaka na hili ndo lilikuwa kosa lake kubwa....
Alitakiwa sasa kufikiria namna ya kurudisha mumewe katika himaya yake, kusema tu alikuwa tayari kutoa unyumba kadri anavyoweza kumbuka mumewe kwa wakati huo hakuwa na tatizo hilo maana alikuwa anapata muda wowote anaotaka, hilo tu lisinge mfanya arudi ndani labda kama Beka alikuwa bado hajatoka nje then hiyo ilikuwa solution, Ambacho alitakiwa kufanya ni kumuonyesha Beka ni jinsi gani anamuhitaj beka kwa hisia na anamalengo gani na kukumbushia walikotoka na malengo yao na nyakati walizokuwa wanaenjoy kabla ya mambo hayajavurugika hapo angefanya moyo umuume beka na kuwa na huruma, wanaume muda mwingine wanakuwa na huruma linapokuja suala la hisia
 
Alitakiwa sasa kufikiria namna ya kurudisha mumewe katika himaya yake, kusema tu alikuwa tayari kutoa unyumba kadri anavyoweza kumbuka mumewe kwa wakati huo hakuwa na tatizo hilo maana alikuwa anapata muda wowote anaotaka, hilo tu lisinge mfanya arudi ndani labda kama Beka alikuwa bado hajatoka nje then hiyo ilikuwa solution, Ambacho alitakiwa kufanya ni kumuonyesha Beka ni jinsi gani anamuhitaj beka kwa hisia na anamalengo gani na kukumbushia walikotoka na malengo yao na nyakati walizokuwa wanaenjoy kabla ya mambo hayajavurugika hapo angefanya moyo umuume beka na kuwa na huruma, wanaume muda mwingine wanakuwa na huruma linapokuja suala la hisia

Hahaa ila ni kweli aisee hata msamaha wenyewe alikuwa anaomba kirahisi sana.....alikuwa hata hahangaiki kutafuta attention saana....
 
Hahaa ila ni kweli aisee hata msamaha wenyewe alikuwa anaomba kirahisi sana.....alikuwa hata hahangaiki kutafuta attention saana....
Afadhali kama umeelewa kwa nini Beka alikuwa sahihi katika uamuzi wake
 
Afadhali kama umeelewa kwa nini Beka alikuwa sahihi katika uamuzi wake

Sisemi Beka alikuwa sahihi but na yule mwanamke mwenzangu alikuwa anachukulia mambo simpo sana.....lakini watu wengine ndo wameumbwa hivyo waweza kuona kwa nje anafanya rahisirahisi lakini majuto aliyonayo na jinsi alivyopondeka huko ndani ni yeye na Mungu wake ndo wanajua
 
Sisemi Beka alikuwa sahihi but na yule mwanamke mwenzangu alikuwa anachukulia mambo simpo sana.....lakini watu wengine ndo wameumbwa hivyo waweza kuona kwa nje anafanya rahisirahisi lakini majuto aliyonayo na jinsi alivyopondeka huko ndani ni yeye na Mungu wake ndo wanajua
Kama mumewe alishindwa kutambua hilo kosa ni la nani hapo? na wewe unatambuaje kama kweli moyoni anaumia? nakuambia Asha aliamua kuomba msamaha kwa sababu wazazi wake walimfokea ila yeye kama yeye hakujitambua ndo maana alipoona Mumewe ameshindwa kumuelewa kirahisi akaamua kumtafuta mchawi wake, bila kujua mchawi wake ni mumewe huyo huyo
 
Kama mumewe alishindwa kutambua hilo kosa ni la nani hapo? na wewe unatambuaje kama kweli moyoni anaumia? nakuambia Asha aliamua kuomba msamaha kwa sababu wazazi wake walimfokea ila yeye kama yeye hakujitambua ndo maana alipoona Mumewe ameshindwa kumuelewa kirahisi akaamua kumtafuta mchawi wake, bila kujua mchawi wake ni mumewe huyo huyo

Hahaha Daudi1 bhana...haya umeshinda baba
 
Last edited by a moderator:
Kumbe alitakiwa afanyeje ndo mtupe maujanja hapa..... Kama msamaha alishaomba na unyumba alikuwa tayari kutoa kadri mumewe anavyotaka na hili ndo lilikuwa kosa lake kubwa....
Khantwe usifanye masihara na mtu aliyechafukwa na roho....... Hapo ilihitajika muda.
 
Last edited by a moderator:
Khantwe usifanye masihara na mtu aliyechafukwa na roho....... Hapo ilihitajika muda.

Duuuh kazi ipo kwa kweli...lakini hakutenda haki...mkewe alitenda kosa nae akalipa kwa kutenda kosa sasa hapo maadam wote wana makosa ilitakiwa wakae chini wayazungumze....waombane msamaha yaishe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom