asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Unaambiwa Aisha alianza Kuwa na tabasamu pana mumewe akirudi anampokea vizuri bila hata kumuuliza kwa ukali....angembeba mgongoni????? Shenz zake tu mwanaume Malaya huyo....
Ulitegemea kitabasamu tu ndiyo ingemaliza machungu yote moyoni.......
Hata mm usingenipata ng'o na kitabasamu chako......
Maamuzi ya kupiga mzigo chini yalikuwa sahihi kabisaaaaa