Hivi faida ya miss tanzania ni nini?
Nimejaribu kufikiri nimeshindwa
Sioni faida ila naona kama ni ujanja janja wa watu wa mjini tu hapa wakiongozwa na lundenga
Mie naiona kama kiwanda cha kuproduce warembo wapya kwaajil ya mapedeshee wa mjini!
Hivi faida ya miss tanzania ni nini?
Nimejaribu kufikiri nimeshindwa
Sioni faida ila naona kama ni ujanja janja wa watu wa mjini tu hapa wakiongozwa na lundenga
Kuna m2 mmoja ambaye jina nimemsahau kidogo, huyu jamaa alikuja na Miss Tourism, hii kidogo ilileta hamasa kwa wadau na ilionekana tishio kwa miss ya braza Lundenga. Hivi mashindano haya yamefia wapi mbona yalikuwa yana2tangaza vzr kiutalii?
wakifuta miss tz, waifute na miss chitchat na urudishe vocha ya lundenga hahahaa (jokes) yan kama upo mawazon mwangu, nilîvyosoma heading nami nikafikiria vivyo hivyo!
Mtayarishaji wa miss Tourism hakuwa na mtaji ndio maana hata kujitangaza yeye mwenyewe bado ni shida.Alianza kama mjasiliamali.
Ahsante kw kunijurisha hilo, lkn kwann Wizara ya Utalii isimwezeshe au kwao haina maslahi?