Miss Tanzania 2014

Miss Tanzania 2014

Brigedia Chan-ocha

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
1,353
Reaction score
2,849
Huyu SITI ABBAS MTEMVU aliyeshinda jana kuwa Miss Tanzania sikutarajia kabisa, mi nilimkubali sana yule binti wa mwisho aliyejibu swali lililohusu Family planning, sijui huwa wanaangalia nini hasahasa kwa sababu huyu Binti wa MTEMVU alipoteza confidence wakati akijibu maswali lakini baadae akajibu tena kwa kifaransa swali hilo hilo lkn hata shape haikunivutia na hata akicheka meno yake yana mwonekano ambao si mzuri kivile.

Sasa mi najiuliza huwa wanaangalia nini hasa?
 
Wameangalia macho ya kurembua kaka, si unajua kibongobongo
 
kwanza alikosea kujibu kutumia lg aloulizwa mmmhhh kifaransa tu kachukua taji mmmhhh
 
Miss tanzania upuuz mtupu sikuiz hawana kwanzia maadili mpaka qualities za miss
After umiss tz uhuni popularity unafata no job but live as some queen bees cjui lakini kwa mtazamo wangu walifute hili tamasha maana badala ya kuibua warembo huzindua wahuni mjini na wachukua waume za watu
 
Hao ma miss sina tatizo nao...ila baadhi ya waliouzuria ndio utasema wamepitia toka kazini ...
 
Hao ma miss sina tatizo nao...ila baadhi ya waliouzuria ndio utasema wamepitia toka kazini ...

Sasa mtu si anavaa anavyopenda? Unataka watu wavae nini? kwani watazamaji hao nao walikuwa wnapita jukwaani kwa ajili ya maonyesho?
 
Bidada kumbe siku ile kwenye ule uzi wa interview ndo mlitundikwa ban??
Duh....aiseee!

ndio shosti yangu kosa langu lilikua kutoripoti abuse wakati mwenye uzi ni mimi nikawajibishwa kwa makosa ya wengine kama lowasa lol am kidding
 
Bidada kumbe siku ile kwenye ule uzi wa interview ndo mlitundikwa ban??
Duh....aiseee!
Yule Pimbi aliyekuwa anatukana watu mpaka wewe ukaleta link ya thread zake za kipimbi aliadhibiwa, ukiwa JF jiachie usimuogope mod yeyote kilaza anayeshindwa kutongoza mademu mtaani uko na kuja kutishatisha watu watu hapa kwa kofia ya umod. Losers.
ndio shosti yangu kosa langu lilikua kutoripoti abuse wakati mwenye uzi ni mimi nikawajibishwa kwa makosa ya wengine kama lowasa lol am kidding

Kosa lako ni nini? Na kazi ya mods ni nini? Siku hizi humu wapumbavu ndio wanachwa wawe kero kwa wenzao, usijipendekeze wala usijirahisishe kwa mods wanataka kuabudiwa washamba tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom