Miss Tanzania 2014

Miss Tanzania 2014

YJUY4F6R0RWinner2.jpg
 
ndio shosti yangu kosa langu lilikua kutoripoti abuse wakati mwenye uzi ni mimi nikawajibishwa kwa makosa ya wengine kama lowasa lol am kidding

Sasa kama ulifanya ufisadi kama lowasa si ilikuwa haki yako kuwajibishwa!! usidanganye umma kuwa lowassa hakufanya ufisadi.
 
Heeee kwani ilishapita? Ubize huu nao wakati mwingine balaa,
Kwani yule miss wetu anaetokea JF kafika hatua gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom