Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Wewe umejaaliwa mapacha?
mke wangu akizaa mapacha mshahara wangu wote ntamuachia yeye ndo anipe za matumizi.
Wewe umejaaliwa mapacha?
mke wangu akizaa mapacha mshahara wangu wote ntamuachia yeye ndo anipe za matumizi.
Duh! Hongera zake mwana wa Kigoma, mi namaindi mapacha!..... niulize jamani, hivi kaolewa au ni mapacha wa gesti?
K-lyn ft Jaymoe
Track:Nikipata wangu
Nikipata wangu sitakubali madam amshike mkono,nikipata wangu nitakuwa naoga nae.
Warithi wa T.V.I Na One radio wamezaliwa,Hongera kwa mzee machache na mama watoto
Hongera zake kwa kutumia uzuri wake vizuri kwa kuaga umaskini.La sivyo angeangukia kwenye mikono ya diamond aka sukari ya mabinti
Kuolewa na tajiri haimaanishi umeaga umasikini. Mali atazionaga tu na vihela vya kwenda dubai ila kodi atakuta kalipiwa, kila kitu kinalipwa juu kwa juu hukamati hata mia acha kabisa matajiri tena wa kichaga anajua alikopata hela!!!! Na ana watoto wakubwa tayari wanasimamia miradi, hapo aombe Mungu tu!!!
Hata hivyo wanawake wazuri hapa mjini asilimia kubwa huwa wanaishia kuwa nyumba ndogo that is from my experience maana huwa wanajifanya kuchagua wanaume mwishowe wanakosa soko na kumegwa na vibabu. Sasa mtoto mzuri vile na kile kibabu wapi na wapi? Sijui yale ma-nose alikuwa anampeng'esha makamasi? Babu ana miaka sitini leo ana mapacha, miafrika bana ikiwa na hela tabu tupu, yani kwa exposure yote hiyo.
Mkuu Bondpost, Age aint nothing but a number ...Kina Larry King (70+) mbona wazungu na bado wanazaa...acha Klynn aanze kula pensheni zake
Wewe umejaaliwa mapacha?