Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,947
- 54,240
Khaa!!!? Tuendapo utawaambia vijana wa kiume wacheze magoma ya msusumio.Humu zungusha hata makalio, ruksa!
Shangazi lazima umepokea takrima ya khanga na kofia. Si bure. Unatumika na mabeberu! πππππWacheze tu.
Huachii fursa? πππππWamefika watongozaji wangapi dada mkubwa? Naomba first runner up unisikumizie ndani manake naona PM yangu hawaioni.
Heri ya mwaka mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini usimpe mwanasesere?Mtoto akililia wembe...
Hakuna hata mmoja. Wote wameufyata kwa elfu kumi tu.Wamefika watongozaji wangapi dada mkubwa? Naomba first runner up unisikumizie ndani manake naona PM yangu hawaioni.
Heri ya mwaka mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!? Aminia. Hiyo ndiyo bora kenda shika nenda kuliko kumi usoiona! ππππ
Na sisi wajukuu tunaruhusiwa..?? Bibi cheka niniWale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Yaani na uzee wako wote hujakusanya pesa za kutosha bado unaomba..!Una pesa?