Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,190
- 10,925
Baada ya ukimya wa muda mrefu hatimae Misri imetoa tamko kwamba iwapo Israel itashambulia eneo la Rafah basi itafuta mkataba wake wa muda mrefu uliotiwa saini baina yao.
Mkataba huo uliotiwa saini mwaka 1979 baina ya rais Anwar Saadat wa Misri na waziri mkuu wa Israel wa wakati huo Menakhen Begin ulisimamiwa na raisi Carter wa Marekani.
Tishio kama hilo pia limewahi kutolewa na Jordan japokuwa bado hawajafanya hivyo juu ya kwamba maeneo yanayosimamiwa na nchi hiyo ndani ya Ghaza yameshashambuliwa mara nyingi.
Mkataba huo uliotiwa saini mwaka 1979 baina ya rais Anwar Saadat wa Misri na waziri mkuu wa Israel wa wakati huo Menakhen Begin ulisimamiwa na raisi Carter wa Marekani.
Tishio kama hilo pia limewahi kutolewa na Jordan japokuwa bado hawajafanya hivyo juu ya kwamba maeneo yanayosimamiwa na nchi hiyo ndani ya Ghaza yameshashambuliwa mara nyingi.