Kwa Tanzania matunda hayana msimu maalumu labda peas ambazo hulimwa kwa wing njombe na iringa matunda mengine hayo mikoa huwa inapishana kuna mingine inavuna mingine inasubir mikoa yenye kilimo cha matunda meng n Tanga, mbeya ,iringa, njombe, tabora, mtwara, bukoba hiii huwa inapishana