kuseranasera
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 620
- 390
Uko vzr, ubarikiwe
Mkuu ushamwekea aendelee kutuma vitu??Nakutafutia MB soon
Mkuu weka namba yako bas kila mwisho wa post.Weka tutumeAkituma mtu utaona navyotiririka!
Haya mkuu tayar kwa ya leo ishatumwa..tiririka basiWekeni MB Nishuke
0759841685
Mkuu Kama umeamua kuweka story weka usifanye kuwa mradi.
Kumbuka hatukukuomba uanzishe story. Hii Ni dalili ya utapeli na ujanja ujanja kila baada ya vipande viwili unataka hela, kaa nayo Basi ili ije kugeuka kuwa bank upate hizo hela.
Utakuwa unashida kwenye uelewa wako yaani huwezo kutofautisha kati ya Ukweli na chuki !!Duh! Punguza hasira...
Maisha yanaweza kuwa magumu ila mimi sijachangia lolote kwenye huo ugumu.
Usinichukie bure mkuu
Utakuwa unashida kwenye uelewa wako yaani huwezo kutofautisha kati ya Ukweli na chuki !!
Ulianza mwenyewe kuweka story , ukataka kujua muitikio wa watu juu ya kile unaandika , ukajibiwa kuwa Ni mzuri , ukaona hiyo Ni fursa kuomba hela kwa kisingizio Cha MBs. Sasa kila baada ya post 2 au 3 unaomba hela !!!! As if hukuwa umejipanga kwa bundle la kutosha kuleta content uliyokuwa umekusudia ? Kama ndio hivyo Basi ungekaa kimya kijana huu sio mradi . Usitafute kuwatapeli watu kwa kisingizio Cha mchango wa bundle. Fanya kazi