Ivon ng'umbi
Member
- Jan 5, 2012
- 39
- 4
Naomba analysis ya mishahara ya walimu wa ngazi mbalimbali yaani cheti, diploma,degree n.k
Degree 589,000/= ,diploma420,000/= ,certificate 296,000/=
mi nlpataga certificate wakat naxubr ajira c nkapata mfadhil akanisomesha 5&6 private xul,xo a level nkaweka 1 CBG now niko muhas 2nd year pharmacy dah cjui wanapewa kias gan kaka labda watakuja wahusika tuvute xubra
mi nlpataga certificate wakat naxubr ajira c nkapata mfadhil akanisomesha 5&6 private xul,xo a level nkaweka 1 CBG now niko muhas 2nd year pharmacy dah cjui wanapewa kias gan kaka labda watakuja wahusika tuvute xubra
Watoto wa Mulugo mnajulikana kwa uandishi
Huyu atakuwa wa fb mkuu TIQO
Mkuu mimi najua wa kwangu tu ambao ni
TGTS C/1
basic ni 432500
take home 352645.
unavyoandika Napata shida na hata hicho unachokisoma....................what is "naxubr" "c" "5&6" "xul" "xo"mi nlpataga certificate wakat naxubr ajira c nkapata mfadhil akanisomesha 5&6 private xul,xo a level nkaweka 1 CBG now niko muhas 2nd year pharmacy dah cjui wanapewa kias gan kaka labda watakuja wahusika tuvute xubra
Naomba analysis ya mishahara ya walimu wa ngazi mbalimbali yaani cheti, diploma,degree n.k
huo ni mshahara au posho?
Hahaha ndio mshahara huo mkuu ,kwenye sekta nyingine huo mshahara ni posho
hebu acha kuropoka hebu nitajie hiyo secta ambao huo mshahara kwao ni posho??
Polisi posho 200,000/= ,jWTZ posho 350,000/=