Kama ume disco degree,nenda chuo upewe discontinue letter.Ipeleke TCU ili waondoe jina lako kwenye mfumo then ufanye application ya vyuo upya katika mwaka wa masomo.Ukidisco degree unaweza tumia cheti Cha form six ku-apply diploma, na ukitaka kuapply diploma unasoma miaka mingapi Ili umalize?
Kama ume disco degree,nenda chuo upewe discontinue letter.Ipeleke TCU ili waondoe jina lako kwenye mfumo then ufanye application ya vyuo upya katika mwaka wa masomo.
Kama ume disco on academic ground,unaweza ku apply katika mwaka unao fata wa masomo.
Kama ume disco on misbehaving such as cheating on examinations, penalty yake ni miaka 2.
Hivyo kama ni academic ground,then usihangaike na diploma.Fanya hizo atua urudi na kujipanga upya.
Kuteleza siyo kuanguka,badirisha chuo au course then kapambane upya.
Kila lakheri....!
Biashara sio ivo ulivyoisema kirahisi rahisi af ukute kijana mwenyew ni 19 tu au ndo anaingia 20Iyo ada bora utafute biashara ufanye af urudi kusoma badae kama ndoto zako zipo kwenye elimu 🤝
Ushauri adhimu sana huo nimempa, za kuambiwa...Biashara sio ivo ulivyoisema kirahisi rahisi af ukute kijana mwenyew ni 19 tu au ndo anaingia 20