hata maafsa wote wa elimu ni TGTS
Hiyo E1 na F1 mbona ni ndogo.Kwa sasa E1 ni sh.720,000. na F1 ni sh.930,000.Sasa inamaana mishahara itapungua?.
kwani wao sio walimu??
.waraka no m/d20/cl524....... Yah.mabadiliko ya muundo wa utumishi na madaraja kwa waalimu. ..................waraka huu kuanza kutumika tar 1/7/2013 na sivinginevyo.hakikisha unatoa ushirikiano kwa wahakiki kutoka hazina kuu.muundo mpya utakua kama ifuatavyo certificate wataanza na tgts d1=532450 diploma tgts e1=692741 digree tgts f1=852425 ,source halimashauri zote tanzania,ofisi ndogo za hazina kwenye kila halmashauri,na kwa makatibu tawala wote wa mikoa.
Huu waraka umefutwa umetolewa mwingine.