Mipale Steve
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 384
- 43
.WARAKA NO M/D20/CL524....... YAH.MABADILIKO YA MUUNDO WA UTUMISHI NA MADARAJA KWA WAALIMU. ..................Waraka huu kuanza kutumika tar 1/7/2013 na sivinginevyo.hakikisha unatoa ushirikiano kwa wahakiki kutoka hazina kuu.muundo mpya utakua kama ifuatavyo certificate wataanza na Tgts D1=532450 Diploma Tgts E1=692741 Digree Tgts F1=852425 ,Source halimashauri zote TANZANIA,Ofisi ndogo za hazina kwenye kila halmashauri,na kwa makatibu tawala wote wa mikoa.