MISHAHARA YA WALIMU ITAKUWA SH NGAPI, anaejua plz

Walimu wengi wameacha kazi na kubaki na ajira tu. Wasipoongeza salary walimu endelezeni zenu za kubaki na ajira na kuacha kazi.
 
Inategemea Uko daraja gani. Serikali imefuta waraka wa mishahara wa mwaka2002; na madaraja yamekua hivi:
Aliye TGTSB sasa wanapelekwa D
C-F; D-F nk sasa Mwl wa grade A ataanzia TGTS D. Hayo ndo marekebisho. Kuna walimu zaidi 81;000 walikua wamefikia Bar yaani tgts E sasa wanapelekwa G

Tupe chanzo cha taarifa hizo mkuu maana naona kama conspirance theory flan hivi.Kama ni kweli basi naona wameanza kuchukua hatua muhimu kuokoa Elimu ambayo sasa iko ICU.
 
kwani mkuu hawa walimu wanalipwa shilingi ngapi? namaanisha wa shule za msingi na sekondary

hatuna walimu wa msing na sekondar kwenye mshahara kuna madaraja yani tgts b.,tgts c,tgtsd, hadi tgts g. Inategemea na uzoefu wako kazini pamoja na kiwango cha elimu. Kumbuka wapo walimu wana bachelar na bado wanafundisha primary
 
WARAKA NO M/D20/CL524....... YAH.MABADILIKO YA MUUNDO WA UTUMISHI NA MADARAJA KWA WAALIMU. ..................Waraka huu kuanza kutumika tar 1/7/2013 na sivinginevyo.hakikisha unatoa ushirikiano kwa wahakiki kutoka hazina kuu.muundo mpya utakua kama ifuatavyo certificate wataanza na Tgts D1=532450 Diploma Tgts E1=692741 Digree Tgts F1=852425 ,Source halimashauri zote TANZANIA,Ofisi ndogo za hazina kwenye kila halmashauri,na kwa makatibu tawala wote wa mikoa.
 
Walimu wanalipwa pesa nyingi sikuhizi ila ukiwa na degree, grade A ni laki mbili mshahara wa kuanzia kaka.
 
Hizi Ndoto Za Mchana! Kwa Serikali Gani Upate Mwalimu Uliyedharaulika Mshahara Ya 8036000/=
weee! ulikuwa unamaanisha 803600/= au? kama sivyo na badala yake ni kama ulivoandika hapo ujue si kwa nchi hii na haitotokea milele!
 
Back
Top Bottom