[/COLOR]
hapo kwenye red naomba nikujibu upande wa waislamu, kwa waislamu mambo haya ni straight forward, wala hakuna mjadala.. baba ndio provider wa familia kwa kila kitu (ni lazima sio hiari) wife hana obligation yoyote ya kutunza familia... wife anaruhusiwa kufanya kazi/biashara n.k na kipato chake ni cha kwake yeye mwenyewe..mume hana chembe ya mamlaka kwenye kipato/mali ya mwanamke...ni hiari yake kutoa au asitoe..halazimishwi (Allah knows best)
Una akili sana weye... na Ndiyo maana huwa nakufagiliaga!!. Ungekuwa karibu "ningekuvuta kwangu, niwe wako milele"duuuh yaani mwanamke unajenga nyumba kwenu,tena kijijini? mmmh mimi sijengi hata banda la kuku pale ni kwa ndugu zangu wa kiume nitapaeshimu na kwenda pale kama mgeni tu...nitajenga kwa mume ambako ndo sehemu halali ya watoto wangu
Mishahara yenu! Basi mrudi kwenu mkale mishahara yenu!
because they are insecure...hvyo dini imeamua mlinda mapema mke wa ki islam... si ndio??
ish!kwani mlioa mishahara?leo patachimbika hapa ahahahhahahhaha
ish!kwani mlioa mishahara?leo patachimbika hapa ahahahhahahhaha
mwaya mapovu yasikutoke mi ugomvi wangu ni nyie mnaotaka tupige pasu pasu!kwa kweli mi hela yangu isiwe ndo inafanyia kila kitu nyie zenu mkahonge tu,yani hata petrol station mnatulengesha upande wa keshia kha!akhu babu na maua ya kupambia nyumba nayo unataka ninunulie nini?ahahhahahhahhahah leo ndyo leo humu!Tulioa kujenga familia na familia inajengwa na wanandoa! You share whatever you have for the benefit of the family. Sasa wewe kama zako ni zako, basi nami zangu ni zangu, ingawa sio nia ya ndoa kuishi hivyo.
duuuh yaani mwanamke unajenga nyumba kwenu,tena kijijini? mmmh mimi sijengi hata banda la kuku pale ni kwa ndugu zangu wa kiume nitapaeshimu na kwenda pale kama mgeni tu...nitajenga kwa mume ambako ndo sehemu halali ya watoto wangu
mwaya mapovu yasikutoke mi ugomvi wangu ni nyie mnaotaka tupige pasu pasu!kwa kweli mi hela yangu isiwe ndo inafanyia kila kitu nyie zenu mkahonge tu,yani hata petrol station mnatulengesha upande wa keshia kha!akhu babu na maua ya kupambia nyumba nayo unataka ninunulie nini?ahahhahahhahhahah leo ndyo leo humu!
huyo mwanamke wewe umemuoa ili umtunze na kumpatia mahitaji yake yote hata kama anafanya kazi. Pesa yake including mshahara ni mali yake na huna mamlaka yoyote juu yake. Ukitaka uanze kujisikia inferior kwa mkeo anza kumtaka mkeo achangie matumizi/mahitaji ya kwenye nyumba yako. Halafu mwanaume kidume kweli haangaiki na pesa ya mke wake!!!!!
Fairly, inatakiwa wote wawili mke na mume mchangie kipato chenu katika maendeleo ya familia zenu. Pesa ya mke ni ya mume na ya mume ni ya mke. Tatizo kubwa linalofanya wanawake wawe wazito kuchangia maendeleo ya familia zao ni TABIA YA WANAUME TENA WALE WENYE KIPATO KIKUBWA/WASTANI KUWA NA NYUMBA NDOGOO!!Mke anahudumia familia mume anahudumia nyumba ndogo, ndio maana wanawake wengi wanakwambia pesa ya mume ni yao wote ila ya mke ni yake yeye tu.
usemacho ni kweli, kinachowafanya wanawake wasipende kuchangia ni hicho, yeye ajinyime ili msonge mbele, mume amjengee nyumba ndogo hekalu
Mishahara yenu! Basi mrudi kwenu mkale mishahara yenu!
Bebeni majukumu kama inavyotakikana ya kumtunza mke pia.Hapa tumeconclude nini wapendwa?