Wakati wa Nyerere tuliumia wote. Sasa hivi serikali hii hii inalipa hela ndefu BOT, TRA ETC. Tatizo serikali inadhani watu hwafahamu. Kumuka aliye BOT alikuwa Class mate wangu ananiambia wanavyopiga hela. mimi dr naenda night call kwa 10,000/=. Jamani kama una degree HUMAN MEDICINE u are so potential kufanya mambo mengi uraiani. HUKU FANI NYINGINE ZIANHITAJI COMMON SENSE TU. MFANO KUWA TELLER BANK, UNAFUNDISHWA WIKI 1 TU UMEJUA.
HIYO NAFASI YA PINDA IKO WAZI TOKA ALIPOLIA. WAZIRI MKUU UNALIA! AENDE NYUMBANI AKALIE. MADAKTARI WAPEWE HELA NDEFU NAO MBONA WENGINE WANAPEWA!
HIYO NAFASI YA PINDA IKO WAZI TOKA ALIPOLIA. WAZIRI MKUU UNALIA! AENDE NYUMBANI AKALIE. MADAKTARI WAPEWE HELA NDEFU NAO MBONA WENGINE WANAPEWA!