KUNANI PALE TGA
Senior Member
- Feb 6, 2009
- 138
- 7
sasa wewe hujiulizi nini chanzo cha hizo lugha mbaya?ni frustrations za kuwa na maisha maduni.kama tungekuwa na system nzuri in place,tungelipwa vizuri,na kuwa na monitoring system ya maadili ya wafanyakazi hilo lisingetokea.mbona na wabunge na mawaziri pia wana lugha chafu sometimes?mfano hiyo kesi ya mlinzi wa ult sec.na siyo wote wana lugha chafu,usi generalize.