Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

Mishahara ya Geita Gold Mine Limited (GGML)

Wana JF Kuna mtu anafaham kuhusu swala la mishahara ya watanzania wanaofanya kazi GGM?

JE Ni kweli mishahara yao Ni mikubwa Kama tunavyoskia au ndo propaganda za vijiweni?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ebu tuanze na wewe ili wote tupate jibu sahihi kwenye hili swali.
Wewe ukiseme mshahara mkubwa, unaanzia pesa ngapi??
Yaani kwako wewe, nini kipimo cha mshahara mkubwa??
 
Mtunza stoo analamba bei gani pale?
Heavy equipment kama madampa and so mara nyingi wanaajiri watu waliojifunzia kazi ndani mulemule.
Unaanza as a general helper then utafunzwa kazi na wakingwe
Although wapo wanaoajiriwa direct ila wengi walikuwa masaidia.
 
GGM malupulupu kibao..kaka yangu analipwa pesa ya ada za watoto mil2.5 kila mtoto anawatoto wawili but kaweka watoto wanne, hapo bado pesa za skukuu na hiyo ni nje ya mshahara sio poa
Kachonga vyeti vya kuzaliwa vya watoto 2 vya mchongo eee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Au hao GGM hawana muda na huu ushaidi wa watoto
 
Kwahiyo kazi ikizidi milioni niite mbwa niko pale nimekaa na zaidi usidanganyike na maneno ya watu mtaani eti kuna hela, Hela ipo kwa watu wa production tu sa wewe clerks tena trainees unategemea upate mshahara mnono mie kwauzoefu wangu ndani ya industry ya mining mshahara wako ni laki saba na sitini au mianane sitini lakini haizidi milioni na haupungui sana
Maisha ya Tanzania watu wanalipwa mpaka laki mbili na Wana familia we unaponda mshahara wa laki7 ? Acha mbwembwe wewe, labda kama hayajakukuta tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Security officer GGM kwa sasa ni around 2 milion. Ila inategemea na unaajiriwa kwa CV ipi inaweza kupanda au kushuka.
Mgodini maana kuna security officer form four leaver na hata mgambo hajapitia
Mkuu naona umefunga PM nilikua na shida na wewe
 
Back
Top Bottom