Mishahara serikalini kulipwa dirishani

Mishahara serikalini kulipwa dirishani

Habari wanaJF mimi ni memba mpya kabisa wa forum hii,ushirikiano ni muhimu kutoka kwenu. Nawasilisha.


haya karibu ila wewe ndio umekosea kabisa umepitiliza hadi vyumbani kwa wenyeji wakati kuna mahali pa kupokelea wageni. tena mbaya zaidi umeingia kwenye kikao kilichokuwa kinaendelea cha kusikitikia mautumbo ya magamba... hebu rudi kule sebuleni then kachungulie ule msahafu wa JF. karibu anyway
 
HIvi ukiwa na serikali inyoogopa baadhi ya watu, solution ni kuwamaliza tu wanyonge. Jairo yuko wapi? Luhanjo wanasubiri hadi muda wake uishen ajiondokee mwenyewe! Leo wanatarget waalimu ambao mishahara yao ya miaka mitatu ni posho za mbunge za mwezi mmoja! watapata nini jamani?
 
Back
Top Bottom