Naomba utuwekee na wale wanaotumia scale za PUTs na PHTs.
Asante
Nahisi kwa upande wa PUTs kuna maumivu makali upande wa PAYE.
Serikali imefanya ujanja sana kwa kuwaandikia basic salary kubwa lakini ikawanyima marupurupu na wakati huohuo kuwawekea PAYE kwa kiwango kikubwa.
Tusubiri wenye detail tuone mazingaombwe.