prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,375
Tuchukue kwenye group ya TGS kwenye wizara,kiongozi mkuu ni Katibu mkuu,hivyo ukiona maximum salary jua ni mshahara wa katibu mkuu.
kwa hiyo iko hivi.Kuanzia juu kabisa.
TGHS L
TGHS L (Sh 3,400,000) - Katibu Mkuu wa Wizara
TGHS K
TGHS K (Sh 3,100,000) - Mkurugenzi/Kamishna/Mkuu wa idara flani hapo wizarani
TGHS J
TGHS J (Sh 2,900,000)- Mkurugenzi Msaidizi/Kamishna Msaidizi/Mkuu wa kitengo flani ndani ya Idara
Endelea kushuka chini kwa kuangalia Hierarchy ya ukubwa hapo wizarani kwenu.
sasa kwa hawa mabwana hii mishahara ni 20-30% ya mapato yao ya mwezi,kwani wana vikao lukuki wanavyolipwa,wana stahili za kila mwezi,wana allowance zisizoisha,hivyo usishangae Mkurugenzi kuwa na total income ya 8-10M kwa mwezi.na vyote hivi ni haki zao za msingo,kabla ya kuanza kufisadi sasa.kwa wale mafishadi hiyo 10M ni weekly change.kwa mafisadi papa hata mshahara huwa hawachungulii!
Mkuu nimekupata..Ngoja nipumzike naona chozi liko njiani kunidondoka.. 🙁