Mishahara mipya serikalini 2013

Mishahara mipya serikalini 2013

Mkuu kama wewe umebahatika kuwa na kipato kikubwa, acha kabisa kutukana watu wakipato cha chini.Haya uliyosema ni matusi. Na kama uko kwenye ngazi ya uongozi basi hii ni hatari mkubwa.

Acha porojo wewe. Tusi liko wapi hapo?

Stay in your lane. Kama mshahara wako sh. laki tano, ishi maisha ya laki tano.
 
Acha porojo wewe. Tusi liko wapi hapo?

Stay in your lane. Kama mshahara wako sh. laki tano, ishi maisha ya laki tano.

Mkuu as the saying goes "Aliyeshiba hamjui mwenye njaa." Na kama wewe ni kiongozi haya ni majanga!!!
 
Naomba niulize,kuna MTU anayemlipa hiusegirl wake 240,000? And please don't bring the "anakula na kulala kwangu" rhetoric.

Most of the lowest base salaries are for new entrants, aka fresh graduates.if u are a responsible person we expect u to not acquire new responsibilities right out of college.

And if u are stuck at the "kima cha chini" until u have 4 kids,something must b wrong with u or where u work.and may b u should focus on work rather than making more kids.

I despise the government in a lot of things but I will not say 240,000 is so little a fresh graduate can't survive I. It.

No one pays anyone salary to make them rich.salaries are just smarter form of slavery to make u come back for more everyday,for the rest of your life.

Salaries are more addictive than drugs.and they are never enough.
 
Naomba mtuwekee ya private company.Manake hatuju i misharah yetu iliyowekwa na serikali.
 
Fanya kazi kwa bidii. Acha porojo...
Naona kazi ya LB7 inakuweka mjini, acha kiburi na majivuno ww, hakuna anaependa kuishi maisha ya chini, angalia usijione umesimama..., kazi watu wanafanya mfumo wenu maccm unafanya watu waendelee kuwa masikini.
 
Naona kazi ya LB7 inakuweka mjini, acha kiburi na majivuno ww, hakuna anaependa kuishi maisha ya chini, angalia usijione umesimama..., kazi watu wanafanya mfumo wenu maccm unafanya watu waendelee kuwa masikini.

Kama hupendi kuwa kima cha chini solution yake ni kufanya bidii, sio kupiga porojo.

Everyone makes their own class, make yours...
 
I hate income tax in terms of percentage. The large the salary the large the tax paid, haina maana kwangu
 
Ndio maana mie sihangaiki kutafuta kazi...Napata nguvu ya kuzidisha juhudi kwa mambo yangu mengine tu....
 
Fanya kazi kwa bidii. Acha porojo...

Mkuu, msg umeipata nadhani, nyie viongozi mkila na kusaza mkumbuke watu wa kipato cha chini, msiwakashifu wasije wakawageukia sikumoja. Kama wewe ni kiongozi kweli, basi nchi ina laana.
 
Waraka namba moja kwa watumishi wa umma uliotolewa na Katibu Mkuu, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, George Yambesi Julai 2 mwaka huu,

Waraka huu unaonyesha kuwa mishahara mipya kwa watumishi wa serikali kada ya masharti (operational service), ngazi ya mshahara na mshahara mpya kwenye mabano ni;



TGOS A

.

Mkuu pls tuwekee na PUTS na PGSS kama waweza kuipata ninataka sana kuiona
 
Mbona hakuna sehemu inaonyesha kima cha juu cha mshahara? Au siyo haki kujua?
 
Tatizo PAYE ela mbuzi,wakati kina Diamond kila shoo milion 11 kwa wiki anapiga zaidi ya moja na hakatwi PAYE,wacheza mpira nao PAYE daah majanga
 
Tukiangalia uhalisia wa Mapato mamatumizi ya mtumishi anaeishi na kufanyakazi Dar es Salaam:-
1. Mshahara ................................................................................... 240,000.00
2. Usafiri i.e to and from per month (20)days...........................................(40,000)
3. B/fast na lunch meals per month (20days)...........................................(80,000)
4. simu..............................................................................................(10,000)
5. Pango la nyumba kwa mwezi.............................................................(120,000)
6. Gesi...............................................................................................(54,000)
7. Umeme...........................................................................................(70,000)
8. TV..................................................................................................(9000)
9. usafiri wa watoto 4 kwenda shule kwa mwezi .......................................(30,000)
10. Chakula cha Familia kwa mwezi.........................................................(300,000)
11. Matibabu na mambo ya kijamii kwa mwezi ...........................................(50,000)
12. Others..........................................................................................(100,000)
13. Akiba............................................................................................(CCM 2015)
14. JUMLA...........................................................................................(623,000)
Bila ya kuweka akiba, mfanyakazi wa kima cha chini atakuwa anadaiwa laki sita plus kila mwisho wa mwezi!!! no wounder wanapretend kufanyakazi kwakuwa wanapretend kuwalipa! watoto wetu nao wanafundishwa kupretend kusoma na kuandika mwisho wa siku tunavunja record ya dunia kuwa kuwa na wafauli 5000 wasiojua kusoma wala kuandika...
Mishahara lazima iangalie gharama za maisha la eneo husika mbali ya soko la ajira lililoko, nchi hii inawataalamu kwenye eneo hili kweli au kila kitu ni siasa kwa kwenda mbele?...

Big up Mkuu !!
 
Mbona hakuna sehemu inaonyesha kima cha juu cha mshahara? Au siyo haki kujua?

Tuchukue kwenye group ya TGS kwenye wizara,kiongozi mkuu ni Katibu mkuu,hivyo ukiona maximum salary jua ni mshahara wa katibu mkuu.

kwa hiyo iko hivi.Kuanzia juu kabisa.

TGHS L
TGHS L (Sh 3,400,000) - Katibu Mkuu wa Wizara

TGHS K
TGHS K (Sh 3,100,000) - Mkurugenzi/Kamishna/Mkuu wa idara flani hapo wizarani

TGHS J
TGHS J (Sh 2,900,000)- Mkurugenzi Msaidizi/Kamishna Msaidizi/Mkuu wa kitengo flani ndani ya Idara

Endelea kushuka chini kwa kuangalia Hierarchy ya ukubwa hapo wizarani kwenu.

sasa kwa hawa mabwana hii mishahara ni 20-30% ya mapato yao ya mwezi,kwani wana vikao lukuki wanavyolipwa,wana stahili za kila mwezi,wana allowance zisizoisha,hivyo usishangae Mkurugenzi kuwa na total income ya 8-10M kwa mwezi.na vyote hivi ni haki zao za msingo,kabla ya kuanza kufisadi sasa.kwa wale mafishadi hiyo 10M ni weekly change.kwa mafisadi papa hata mshahara huwa hawachungulii!
 
HIYO NYONGEZA NI DANGANYA TOTO NA HAITOSHI.

Waraka kupigwa mhuri wa siri,ni siri na nani?

Hoja siyo kuongeza mishahara bali kushusha kodi ya PAYE hadi single digit,kushusha mfumuko wa bei kwa maana ya kuongeza uzalishaji,sarafu yetu kuwa na thamani.

TUCTA kupitia baraza la majadiliano [utatu]limeshindwa kuwasaidia wafanyakazi?
 
Back
Top Bottom