Mishahara mipya kwa walimu na kada ya afya

Mishahara mipya kwa walimu na kada ya afya

Mbona kwa walimu B1 ikipigiwa hesabu 23.3% ongezeko haliendani na ahadi ya mama,sema umeokoteza sehemu ukalibwaga humu!
 
Manake madaraja kutoka B hadi E huwa hayapishani kwa zaidi ya 200k ila kuanzia F na kuendelea ndo huwa 300k na ushee
 
viwango vya mishahara ya walimu Teachers salary scale range
TGTS B1 = 516,627/=
TGTS C1 = 653,490/=
TGTS D1 = 882,828/=
TGTS E1 = 1,159,020/=
TGTS F1 = 1,522,755/=
TGTS G1 = 1,972,800/=
TGTS H1 = 2,578,203/=
TGTS I1 = 3,536,300/=

Walimu wanachukuliwa kama sampo why


Viwango vya Mshahara sekta ya afya Nurses and Doctors
Nurses and Doctors with Certificate TSH 532,656
Nurses and Doctors Diploma TSH 838,440
Nurses Degree THS 1.8M









1.8 mkuu.? Unashangaa??..ni ujira mwingi na Mtu anaishu vema kabisakwa Tanzania
Piga unga wakutosha, maharage mengi, nyanya, vitunguu mwezi, nyama, dagaa, mwezi unakatika na chenji inabaji. Kwa 1.8 M
Daah sawa lambeni sukari mwaya
 
Tupoze moyo baada ya kutukanwa sana hapa.Viwango vipya mishahara serikalini 2022/2023
Filed in Articles by Ajira on May 14, 2022
New Government Salary Scales for Approved viwango Vipya mishahara serikalini 2022/2023 (walimu &afya) this salary scales start from July 2022

viwango vya mishahara ya walimu Teachers salary scale range
TGTS B1 = 516,627/=
TGTS C1 = 653,490/=
TGTS D1 = 882,828/=
TGTS E1 = 1,159,020/=
TGTS F1 = 1,522,755/=
TGTS G1 = 1,972,800/=
TGTS H1 = 2,578,203/=
TGTS I1 = 3,536,300/=

NB: B1 Salary begin teacher with certificate holder ,C1 Salary begin teacher with Diploma holder and D1 Salary begin teacher with holder Bachelor Degree

Viwango vya Mshahara sekta ya afya Nurses and Doctors
Nurses and Doctors with Certificate TSH 532,656
Nurses and Doctors Diploma TSH 838,440
Nurses Degree THS 1,208,340
Doctors with bachelor degree TSH 1,824,840
Hakuna kitu kama hicho. Nasema hakuna !

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nurse wa degree hatendewi haki kabisa yani 1.2M sasa umuhimu wa kusoma miaka minne uko wapi??
Pesa za kulipa zaidi mishahara zinatoka wapi?
Sasa hivi tu nusu ya makusanyo yanalipa mishahara, nusu inayobaki Kuna madeni ya serikali, operations na ndio ije ikumbukwe Maendeleo.
Hamuoni kuwa tutaendelea kuwa maskini zaidi ikiwa nusu ya makusanyo yanalipa mishahara?
 
Pesa za kulipa zaidi mishahara zinatoka wapi?
Sasa hivi tu nusu ya makusanyo yanalipa mishahara, nusu inayobaki Kuna madeni ya serikali, operations na ndio ije ikumbukwe Maendeleo.
Hamuoni kuwa tutaendelea kuwa maskini zaidi ikiwa nusu ya makusanyo yanalipa mishahara?
unataka maendeleo ya vitu huku watu wakiishi kama mashetani au hamuoni mfumuko wa bei kitaa??
 
Nurse wa degree hatendewi haki kabisa yani 1.2M sasa umuhimu wa kusoma miaka minne uko wapi??
Kusoma miaka 4 sio ishu.

Na sio guarantee ulipwe hela nyingi hata ungesoma miaka 10.

Walimu ambao ndio source ya maarifa,ujuzi,na watengeneza nguvukazi ya Taifa wanalipwa hela ngama tu.

Msijipe umuhimu sana.

Still hela kubwa hio
 
Back
Top Bottom