Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,006
- 150,541
Amna vya Cv wala nini ata kesho ukienda ukifika unavalishwa gwanda na buti direct kwenda kulinda mshahara laki amsini ukiwa na tatizo ujaenda kazini bila kuwapa taarifa wanakata elfu kumi unaweza kaa ata miezi mitatu bila mshahara ika awadhurumu mtu pesa utapewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]