Mishahara ya kampuni za Ulinzi ni Tsh 100,000-Tsh 250,000+ Inategemeana na kampuni.
Kazi za Madereva huwa zinapatikana, ila ukiwemo kwenye makampuni kama Guard inakuwa rahisi kupata ingawa hata nje huwa wanachukua.
Kuhusu Elimu na JKT wala hata usivitegemee saaana, vitakupoteza.
Wala Usiitegemee Serikali au Magufuli. Kwanza Ndio Magufuli Anafurahia Kuwalipa SUMA JKT Tsh 170,000 Kwamba ni Cheap Security Guards na Hivyo Anabana Matumizi.
Umeingia Mtaani, Usiangalie Chaka, Usiangalie Mtu. Anza Upya.
You Need To Start To Be Great.
Mimi Nimeingia Huku Tangu 2017 Mwezi Wa 10.