Mishahara company za ulinzi

Mishahara company za ulinzi

Amna vya Cv wala nini ata kesho ukienda ukifika unavalishwa gwanda na buti direct kwenda kulinda mshahara laki amsini ukiwa na tatizo ujaenda kazini bila kuwapa taarifa wanakata elfu kumi unaweza kaa ata miezi mitatu bila mshahara ika awadhurumu mtu pesa utapewa

 
Shukran Mkuu..

Ila kwny tqngazo nmeona wanataka attachment letter pia CV..

Kampany inaitwa Saramu Security. Unaweza kunipa A B C khs hili kampany..
Kma una cheti cha kidato 4, Cheti cha kuzaliwa na Wadhamini wa maana katafute kazi kampuni zinazoeleweka.

Kwanza uko wapi ?
 
Kma una cheti cha kidato 4, Cheti cha kuzaliwa na Wadhamini wa maana katafute kazi kampuni zinazoeleweka.

Kwanza uko wapi ?

Nko daresalam Mkuu..

Ninavyeti vyote..

Cha form 4
Ordinary Diploma
Advance Diploma
Birth certificate
National ID
Referees
Etc..
 
Mishahara ya kampuni za Ulinzi ni Tsh 100,000-Tsh 250,000+ Inategemeana na kampuni.

Kazi za Madereva huwa zinapatikana, ila ukiwemo kwenye makampuni kama Guard inakuwa rahisi kupata ingawa hata nje huwa wanachukua.

Kuhusu Elimu na JKT wala hata usivitegemee saaana, vitakupoteza.

Wala Usiitegemee Serikali au Magufuli. Kwanza Ndio Magufuli Anafurahia Kuwalipa SUMA JKT Tsh 170,000 Kwamba ni Cheap Security Guards na Hivyo Anabana Matumizi.

Umeingia Mtaani, Usiangalie Chaka, Usiangalie Mtu. Anza Upya.

You Need To Start To Be Great.

Mimi Nimeingia Huku Tangu 2017 Mwezi Wa 10.
Na mpaka Sasa hujatoka tu
 
Poapoa Mkuu..
Kama unaweza kesho kabla ya saa mbili uje garda...ipo mikocheni ukiwa unaenda kawe kuna kituo kinaitwa kwa mwinyi...shuka hapo ulizi ofisi za garda zilipo lakini hakikisha wewe ni mrefu na una vyeti halali...pamoja na wadhamini halali ambao watakuwa teyari kuja kukudhamini phisicaly
 
kama unaweza kesho kabla ya saa mbili uje garda...ipo mikocheni ukiwa unaenda kawe kuna kituo kinaitwa kwa mwinyi...shuka hapo ulizi ofisi za garda zilipo lakini hakikisha wewe ni mrefu na una vyeti halali...pamoja na wadhamini halali ambao watakuwa teyari kuja kukudhamini phisicaly
Kamanda.
 
Sijajua kama saizi wanachukua, ila garda anaajiri saizi kwa fujo, kama unaweza wahi haraka, unamaliza training wiki mbili unaingia kazini hakuna kubabaisha
 
kama unaweza kesho kabla ya saa mbili uje garda...ipo mikocheni ukiwa unaenda kawe kuna kituo kinaitwa kwa mwinyi...shuka hapo ulizi ofisi za garda zilipo lakini hakikisha wewe ni mrefu na una vyeti halali...pamoja na wadhamini halali ambao watakuwa teyari kuja kukudhamini phisicaly
Ngoja namimi nikajaribu bahati yangu huko huenda mambo yakawa mazuri.
 
Mshahara halisi kwenye makampuni ya ulinzi umegawanyika sehem kuu mbili,

1. Kampuni za kimataifa mfano Kama SGA, KK, Insight mshahara unaanzia tsh laki moja na Nusu (150,000), inayozid zaid ya hapo mara nyingi inakua ni overtime kwa sababu walinz wamekua wanafanya kazi masaa kumi na mbili (12) kwa siku. Ni kampuni chache wanazotoa allowance Kama chakula au nauli.

Ukibahatika kuingia ukiwa na ujuzi mwingine Kama driving na ukata nafasi ya kuwa dereva huenda ukaongezewa kiasi kigogo.

2 Kampuni za zisizo za kimataifa mshahara wake unaanzia tsh. Laki moja (100,000).
Hii mishahara ni kwa mujibu wa viwango vya mishahara vya mwaka 2013 vinavyotumika had sasa.
 
Back
Top Bottom