wanawah usafir sister c unajua usafr wa mabom center(mbagala na gomz)hahahah...............tumbo linauma
kuna moja alisema ile tabia ya watu wa kigamboni wakishuka kutoka kwenye pantoni kukimbia baadaye watakuja kuwa wanariadha mahiri.................hafu hii ni kweli najiuliza sana kwanini uwa wanakimbia?
mimi nahisi wameshazoea mana hata mchana wanakimbia wakati mchana usafiri siyo tabu...........ni mazoea tu.wanawah usafir sister c unajua usafr wa mabom center(mbagala na gomz)
c unajua tenah mazoea yana tabu bt ushamba pia unawasumbua kwan wote wanaokmbiaga unawaonaje??!!mimi nahisi wameshazoea mana hata mchana wanakimbia wakati mchana usafiri siyo tabu...........ni mazoea tu.
hahahahaha - sitaki ngumi mimi sasa hivi.c unajua tenah mazoea yana tabu bt ushamba pia unawasumbua kwan wote wanaokmbiaga unawaonaje??!!
Mtanisamehe, ila I find this guy's humour very lame. Yaani badala ya kucheka huwa I feel sorry for his analogy. Pathetic!