Misamiati itumikayo vyuoni

1.Kwenda Ubalozini..( kuzuru kwa ndugu na jamaa ili kubana matumizi au kuomba mshiko)

2. Kukomnika ( kushindia mkate na chai au maji wakati wa ukata..duh hii ilikuwa balaa)
tehe tehe hii tumeipiga sana tu tena tuliipiga mwaka wa kwanza wakati MLIMANI CITY Inafunguliwa.. MIKATE SHOP RITE 350/= nasiunajua mikate ya shoprite ilivyo mikavu mzee unanunua yakutosha siku hata tatu..
 
Aiseee babaangu nilitaka nisahau kitu cha g p a ya kikwete ambayo ni 2 . 0 ukipata hii udsm unasema aiseee babaangu nimepata gpa ya kikwete

nawasilisha
 
kariakoo -maduka chini ya HALL VI mlimani
Shimo la tatu-HALL THREE
MINAZI-kusimama na msichana night baada ya prepo
 
CBE Dodoma kuna:
lampard- kushinda bila kula
viputiputi- sehemu zakusomea/ inatokana na jina la vice principal pale i.e omar kiputiputi
kudesa- kuibia kwenye mtihani
mti mawazo- mti mkubwa wa kufanyia vikao kwa wanafunzi

bila kusahau kauli mbiu ya

"ni hatari sana kuingia na kibuti katika mtihani ila ni hatari zaidi sana kutoingia nacho"
 
Back
Top Bottom