Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu niko njiani nasafiri na bus la Shabiby kuelekea Dodoma, tumesimamishwa hapa eneo la ubena kupisha msafara wa kiongozi wa serikali zaidi ya masaa mawili sasa tumesimamishwa.
Je, ni halali watu kusimama hivi barabarani muda mrefu bila huruma kisa mtu mmoja anapita kuelekea Dar? kwa nini viongozi wa serikali wanakuwa hivi wakuu. Kimsingi nimechukia sana.
Je, ni halali watu kusimama hivi barabarani muda mrefu bila huruma kisa mtu mmoja anapita kuelekea Dar? kwa nini viongozi wa serikali wanakuwa hivi wakuu. Kimsingi nimechukia sana.