Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,506
- 51,111
Tunafadhiliwa kujengewa matundu ya choo kisha, watu wanaandika bango zima ili dunia ione.
Halafu tunatoka hapo tunatangazia dunia kuwa sisi ni matajiri, tunatangaza namna tunavyotakiwa tuwe na mawazo ya kujitegemea, kisha tunatoka hapo tunafadhiliwa matundu ya choo na tunatangazwa dunia nzima.
Kama kweli tunataka kujitegemea, tuanze na vitu vidogo vidogo kama hivi
Hii ni aibu kubwa kwa nchi yenye miaka 70 ya kujitawala kujengewa mashimo ya choo.
Hivi sisi tumerogwa?
Halafu tunatoka hapo tunatangazia dunia kuwa sisi ni matajiri, tunatangaza namna tunavyotakiwa tuwe na mawazo ya kujitegemea, kisha tunatoka hapo tunafadhiliwa matundu ya choo na tunatangazwa dunia nzima.
Kama kweli tunataka kujitegemea, tuanze na vitu vidogo vidogo kama hivi
Hii ni aibu kubwa kwa nchi yenye miaka 70 ya kujitawala kujengewa mashimo ya choo.
Hivi sisi tumerogwa?