Misaada inayotweza utu wetu - Serikali yetu iko wapi kuruhusu mambo ya ajabu namna hii?

Hivi vitu vya kujengewa vyoo ndivyo vinavyofanya waafrika tudharaulike duniani.

Nilishangaa nilipofanya kazi na wazungu jinsi nilivyokuwa napata tabu kushawishi kwamba hoja yangu ni ya msingi hivyo ibebwe kama ilivyo. Mwanzoni sikuwa naelewa kilichokuwa kinaendelea so nikawa napata hasira kwa nini hawanisikii na kunielewa.

Badae nkaja kuelewa kuwa uafrika wangu unanisaliti. Kumbe vichwani mwao kinachoendelea ni kuwa huyu mtu kutoka Tanzania anaweza kuleta hoja ya maana kweli?

Sasa na haya mambo ya kujengewa vyoo....
 
Matundu ya vyoo wamesaidia lakini hadi waandike namna hiyo?
That is the point, kila watu siku zote tunashida na tunasaidiwa ama kwa sisi wenyewe kuomba misaada ama kwa wafadhili wenyewe kuamua watasaidia eneo fulani, mtu ukiishamsaidia sio busara kumtangaza kivile, kusaidiwa vitu vingine jamani ni kudhalilishwa!.

Mila nyingi za kiafrika, mwanamke anapaswa kuolewa akiwa sealed, na shamra shamra za kusherekea hufanyika baada ya defloration consummation tena kwenye shuka nyeupe!, ikitokea Bwana harusi kashindwa, anasaidiwa na blood brothers in a very closed top secret, ndipo sherehe huendelea. No one will know this even the bride kwasababu haya mambo hufanyika kwenye giza tororo, akishindwa anaaga kwenda washroom, then anaingia Mzee wa kazi, akimaliza anakimbilia washroom, ndipo anarudi mwenye mali.

Vitu vingine kusaidiwa jamani ni aibu, yes tunashida, tunahitaji kusaidiwa, na tunaposaidiwa, tunashukuru sana, lakini ndio tutangazwe hivyo?!.
P
 
kama kuna uwezekano wa kusaidiwa je tusisaidiwe??tuache watu wanye maporini na msaada wa karibu upo?au hamfahamu athari za kutokuwa na vyoo bora.
P
 
P
nimekuelewa hivi mfano mi nimekuja kwako nikaona kuwa uwezo wa kuhudumia vijana wako ni mdogo nikaamua ntakusaidia kuwaletea nguo n.k lakini namimi nimeomba kwa mtu hivyo niliemuomba nayeye nnamuonyesha nilicho fanyia huo msaada ili siku nyingine anisaidie tena ili nikusaidie wewee hizo credibility wazungu wanazipenda sana.
 
Hivi vitu vya kujengewa vyoo ndivyo vinavyofanya waafrika tudharaulike duniani.

Nilishangaa nilipofanya kazi na wazungu jinsi nilivyokuwa napata tabu kushawishi kwamba hoja yangu ni ya msingi hivyo ibebwe kama ilivyo. Mwanzoni sikuwa naelewa kilichokuwa kinaendelea so nikawa napata hasira kwa nini hawanisikii na kunielewa.

Badae nkaja kuelewa kuwa uafrika wangu unanisaliti. Kumbe vichwani mwao kinachoendelea ni kuwa huyu mtu kutoka Tanzania anaweza kuleta hoja ya maana kweli?

Sasa na haya mambo ya kujengewa vyoo....

Siyo wazungu tu kaka, hata Waasia kama vile Wachina, Wakorea na Wajapani wanatudharau pia, Wanatuona tuna IQ ndogo sana.

Na bahati mbaya wakiona picha kama hizi ndo wanaamini kabisa
 
nimekuelewa hivi mfano mi nimekuja kwako nikaona kuwa uwezo wa kuhudumia vijana wako ni mdogo nikaamua ntakusaidia kuwaletea nguo n.k lakini namimi nimeomba kwa mtu hivyo niliemuomba nayeye nnamuonyesha nilicho fanyia huo msaada ili siku nyingine anisaidie tena ili nikusaidie wewee hizo credibility wazungu wanazipenda sana.
Mkuu Lavan, kuna namna ya kujustify misaada bila kuweza, picha, video, reports, zote zinatumika lakini sio kuanikana kivile.
P
 
UNDP wanastahili shukrani kama unabisha muulize Mh. Heche jimboni kwake ni kaya ngapi zina vyoo kama sio kujisaidia msituni!
Unajalalisha upumbavu wa serikali kwa kumtupia mfano mbunge wa upinzani utadhani fedha zinatoka kwenye chama chake?
We kichwani uko empty kabisa!
 
Naunga mkono hoja, misaada mingine ni aibu, tunadhalilishwa.

P
Ila sidhani kama misaada kama hiyo ipo tokea tuwe donor Kantirii, hayo yalikuwa mambo wakati wa JK na mafisadi. Kwa sasa tunafedha yakutosha tunawezaje kununua mandege cash tushinde vyoo? Sasa hivi dunia nzima ina tu admire na nchi za magharibi (mabeberu) wamatuonea wivu sana kwani 2025 kwa ile mipango iliyopitishwa twaweza kuwa kama Toronto.
 
Me nligutuka nilipoona tunapewa msaada wa neti za sh elfu tano tano....kwakweli tunajiondolea utu wetu na heshima yetu kama nchi kwa vitu vidogovidogo.......ni aibu!!!
 
Back
Top Bottom