Abdalla mpemba
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 657
- 908
Halafu munasema muachiwe musiingiliwe mambo yenu ya ndani yaliyomo ktk nchi wakati wakati uwezo wa kujenga matundu ya choo hamuna munapewa msaada na mabeberuNaunga mkono hoja, misaada mingine ni aibu, tunadhalilishwa.
P