Kwamba ulikuwa unajua Serikalini haiwezekani kuacha kazi? Mbona kila siku watu wanaacha kazi huko Serikalini?Kumbe inawezekana kuacha kazi serikalini
Amelinda Heshima yake. Hongera sana.Jinamizi la watangazaji kuacha kazi bado linaendelea kuitafuna TBC, Mtangazaji mwengine mkongwe Miriam Migomba ametangaza kuondoka Shirika la Utangazaji Tanzania TBC baada ya kuhudumu kwa muda mrefu.
Migomba anakuwa mtangazaji wa pili kuondoka kwenye Shirika hilo ndani ya mwezi mmoja baada ya Djaro Arungu kuondoka wiki iliyopita.
View attachment 2898427
Video: Djaro Arungu aacha kazi TBC
Mtangazaji wa kipindi cha "Papaso" Djaro Deus Arungu, ametangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa kuanzia leo sio mfanyakazi wa TBC FM. ANGALIA VIDEO HAPA Djaro amefanya kazi TBC kwa muda wa miaka 20. Written by Mjanja M1 ✍️www.jamiiforums.com
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Hata ilani hawatangazi?😂Tbc ni muziki mwanzo mwisho nadhani kuna reformation inafanyika
Nakubaliana na wewe, yaani hao ma VCs vyuo vyote ni vimeo inasemekana siku hizi kama shule za misingi au sekondari kuna jamaa yangu anasema no independent thinking nowdays, ukijifanya mbishi wanakuhamishia ka chuo ka ajabu ajabu hahahaKatika blunder ambayo Magufuli alifanya ni kuwapa vyeo vya kiutendaji academicians ndani ya Serikali the so called Ma doctors na Professors,hawa watu managerial skills ni zero.
Waachwe waendelee kufundisha na kuwafokea wanafunzi ndio level yao.
Usikute ni manyanyaso ya kingono, kakataa. Unajua wanawake mateso huwa hayaishi. Hapo najua itakuwa ngono tu kamkatalia mkubwa mmoja basiLabda anatafuta huruma
Ova
Kabisa [emoji28]Kama Dijaro Arungu kaacha kazi sasa Besti Nasso si atakua analia Sana maana ndo msaniii pekee ambae nyimbo zake hazipigwi radio yoyote zaidi ya TBC alafu hapo TBC yenyewe ilikua zinapigwa kwenye kipindi cha dijaro arungu tu.