Miriam Migomba aacha kazi TBC

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,197
Reaction score
14,896
Jinamizi la watangazaji kuacha kazi bado linaendelea kuitafuna TBC, Mtangazaji mwengine mkongwe Miriam Migomba ametangaza kuondoka Shirika la Utangazaji Tanzania TBC baada ya kuhudumu kwa muda mrefu.

Migomba anakuwa mtangazaji wa pili kuondoka kwenye Shirika hilo ndani ya mwezi mmoja baada ya Djaro Arungu kuondoka wiki iliyopita.

Your browser is not able to display this video.



Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1 ✍️
 
Katika blunder ambayo Magufuli alifanya ni kuwapa vyeo vya kiutendaji academicians ndani ya Serikali the so called Ma doctors na Professors, hawa watu managerial skills ni zero.

Waachwe waendelee kufundisha na kuwafokea wanafunzi ndio level yao.
 
Amelinda Heshima yake. Hongera sana.

Watu wenye akili wanasoma alama za Nyakati
 
Katika blunder ambayo Magufuli alifanya ni kuwapa vyeo vya kiutendaji academicians ndani ya Serikali the so called Ma doctors na Professors,hawa watu managerial skills ni zero.
Waachwe waendelee kufundisha na kuwafokea wanafunzi ndio level yao.
Nakubaliana na wewe, yaani hao ma VCs vyuo vyote ni vimeo inasemekana siku hizi kama shule za misingi au sekondari kuna jamaa yangu anasema no independent thinking nowdays, ukijifanya mbishi wanakuhamishia ka chuo ka ajabu ajabu hahaha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…