Hadi wanaitwa maprofesa si wanakuwa wameshafanya tafiti kadhaaUlitaka wafanye nini we mpuuzi
Tanzania haijawekeza kwenye utafiti
WajiongezeUlitaka wafanye nini we mpuuzi
Tanzania haijawekeza kwenye utafiti
Dogo ni mpuuzi anaongea asichokijua! Hakuna mtu anapiga life kama ma professor. Tena hata huo mshahara uliomtajia ni wa lecturer wa kawaida senior lecturers wako 10m na kuendelea!Mshagara wa professor ni zaidi ya 6million kwa mwezi hapo hujaweka marupurupu mengine kama semina nk...
Na hawana stress za biashara kama watu kariakoo walivyo...
Kimsimgi they are living life
Ndio maana biashara zinawashinda. Waendelee kuishi kwa hiyo mishaharaMshahara wa professor ni zaidi ya 6million kwa mwezi hapo hujaweka marupurupu mengine kama semina nk...
Na hawana stress za biashara kama watu kariakoo walivyo...
Kimsimgi they are living life
Na wewe akaunti yako ina shilingi ngapi? Wabongo mnapenda sana kuongelea maisha ya wenzenu, huku ya kwenu yakiwashinda.Mchawi kibunda mkuu
Kuna madogo wafanyabiashara wa kichaga na wa kikinga hapo Kariakoo akaunti zao zina mkwanja mrefu kuliko hata hao maprofesa
Hiyo title ya Profesa hata isikutishe
Na wewe unataka kuongelea maisha yangu sasa kwa nini unaulizia akaunti yangu?Na wewe akaunti yako ina shilingi ngapi? Wabongo mnapenda sana kuongelea maisha ya wenzenu, huku ya kwenu yakiwashinda.
Ndugu, huu ujasiri wa kuwapangia watu nini cha kufanya, unautoa wapi kwenye hii dunia ya sasa!Kutege
Ndio maana biashara zinawashinda. Waendelee kuishi kwa hiyo mishahara
Naulizia ili na mimi nipate motivation kutoka kwa mwana jamii forums mwenzangu. Maana naona mwenzangu unawaongelea vijana wa Kichaga na Kikinga tu.Na wewe unataka kuongelea maisha yangu sasa kwa nini unaulizia akaunti yangu?
Chuo gani kinawalipa Profesa mshahara milioni 10?Tena hata huo mshahara uliomtajia ni wa lecturer wa kawaida senior lecturers wako 10m na kuendelea!
SUA kuna Profs wanazoa mpaka 15m.Chuo gani kinawalipa Profesa mshahara milioni 10?
Wanawezeshwa sana na serikali zao na makampuni mkubwa huko kwao, hawa wakwetu ni kama wametelekezwa wapambane na hali zao, ukiwalaumu utakuwa unawakosea sana.Kwa wanaojitambua (nchi) maprofesa wanajikita kwenye mambo ya utafiti na utaalam. Huwezi kukuta wanafanya vi-miradi njaa kama hapa kwetu.
Sasa milion 6 Kwa mwaka si milion 72.Mshahara wa professor ni zaidi ya 6million kwa mwezi hapo hujaweka marupurupu mengine kama semina nk...
Na hawana stress za biashara kama watu kariakoo walivyo...
Kimsimgi they are living life
Acha uongo mkuu, Hakuna mshahara wa hivyo kwa Prof hapa bongoSUA kuna Profs wanazoa mpaka 15m.
Si kweli mkuu, usiandike kitu usichokuwa na uhakika nachoDogo ni mpuuzi anaongea asichokijua! Hakuna mtu anapiga life kama ma professor. Tena hata huo mshahara uliomtajia ni wa lecturer wa kawaida senior lecturers wako 10m na kuendelea!
Mimi siku zote msimamo wangu ni huu. Nchi yetu tujilaumu sisi wananachi wenyewe kwa kila baya lililopo. Hawa maprofesa wanafanya nini kubadilisha hii hali kama siyo kujikomba kwa viongozi huku wakiwa wamejawa na woga mkuu. Juzi kuna watu alitaka kufanya kongamano la katiba kwenye chuo fulani Mwanza. Profesa Mahalu na usomi wake (nadhani ni sheria) alikuwafukuza huku akisema wanamharibia. Kwa kifupi ni kuwa wananchi pamoja na hao wasomi hatujitambui. Hakuna serikali duniani inayojali wananchi wake bila hao wananchi kuisimamia.Wanawezeshwa sana na serikali zao na makampuni mkubwa huko kwao, hawa wakwetu ni kama wametelekezwa wapambane na hali zao, ukiwalaumu utakuwa unawakosea sana.
Ulitaka wamiliki Commision of Science and Technology?Sasa we jiulize mtu kama lipumba, kabudi, mkumbo, tibaijuka, ...... just imagine wote ni weupe kichwani wana ubunifu gani ..... eti profesa una miliki sheli