Miradi ya Maprofesa wa Bongo

Auxin

Member
Joined
Mar 20, 2023
Posts
42
Reaction score
156
1.Ng'ombe wawili wa maziwa(SUA)
2.BAR(UDSM,OUT,UDOM,SAUT,DUCE,MUCE )
3.lodge (Mzumbe,UDOM)
4.Mboga mboga nusu heka (SUA)
5.Bwawa la samaki(SUA)
6.Stationary-vitini vinapatikana hapo na vitabu vyake(vyuo vyote)
7.Daladala (UDSM,OUT,SUA)
8.Saluni(DUCE,UDOM,MAKUMIRA,MIPANGO DOM,MZUMBE)
9.SHULE (Huyu amejitutumua sana ila usimamizi sio mzuri)

Ongeza na wewe unazo zikumbuka
 
Hio no 9. Kuna Doctor kauza shule, mwingine ni profesa nae ilimshinda miaka 5 iliopita akawapa kanisa. Yaani wachungaji na mapadri wanaweza kuendesha shule kuliko maptofesa.
 
Kabla ya kukimbilia kutuletea miradi ya hao Maprofesa wa Bongo, ulitakiwa kwanza kutuwekea miradi yako unayoimiliki wewe kama wewe kwa 💯% huko uliko mpaka sasa, ili kuwamotivate wengine.

Maana ufahamu unapo mnyooshea mwenzako kidole kama hivi; 👉 basi ukumbuke kuna vidole vingine vitatu vinakuelekea wewe mwenyewe.
 
Nafikiri mtoa mada anaongelea maprofesa, sidhani kama yeye ni profesa.
 
Kambarage bar & pub (SUA)
 
Wewe ulitaka wabuni miradi gani?

Tupe refference ya maprofessor wakubwa duniani na miradi waliyoanzisha ili tulinganishe
 
10. Vijoint companies vya ujenzi hususani kuziba viraka vya lami iliyochakaa barabarani
 
Umecopy na kupaste.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…